DOKEZO Jamanii Shule ya Msingi Sinza ni chakavu, madarasa yamebomoka na Ofisi ya Walimu nayo imebomoka

DOKEZO Jamanii Shule ya Msingi Sinza ni chakavu, madarasa yamebomoka na Ofisi ya Walimu nayo imebomoka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
k Mamake! CCM, nilisoma hapa, 90s, waalimu wali kuwa wanajari kuuza uji na visheti tu! Wakijichokea, wanawaambia wanafunzi waendelee na mapumziko mpaka muda Wa kutoka
athee wewe itakuwa tunajuana nimemaliza darasa la saba hapo mwaka 1997 si hapo karibu na vatican hotel?
 
Aise watu wa daslaama mnashida Gani mbona shule new model kabisa hiyo,na mwingine hana lalamika wiki 3 hawana maji.wakati huku kwetu tangu Nyerere hakujawahi kuwa na maji ya bomba na tuna tamba..hila nimwendo gusa ,achia,tukutane (10 ) labda policcm wangilie kati
 
k Mamake! CCM, nilisoma hapa, 90s, waalimu wali kuwa wanajari kuuza uji na visheti tu! Wakijichokea, wanawaambia wanafunzi waendelee na mapumziko mpaka muda Wa kutoka
athee wewe itakuwa tunajuana nimemaliza darasa la saba hapo mwaka 1997 si hapo karibu na vatican hotel
Halafu kuna jamaa humu linataka nimtoe mwanangu feza nimepokea hii shule.
usimtoe ila hakikisha akitoka hapo sio anaanza kupuyanga inatakiwa umpeleke america bongo nyoso
 
athee wewe itakuwa tunajuana nimemaliza darasa la saba hapo mwaka 1997 si hapo karibu na vatican hotel

usimtoe ila hakikisha akitoka hapo sio anaanza kupuyanga inatakiwa umpeleke america bongo nyoso

Akishakuwa na uelewa mzuri America anaweza kwenda tu mwenyewe.
 
Tukitengeneza zote kwenye kampeni tutakosa maneno ya kuombea kura...
 
Ifanyike Harambee kwa tuliosoma hapo kunusuru kadhia hiyo,nmeipata hapo,class of 1995_2001,jina maarufu la shule ni "sinza mihogoni",though naimani serikali sikivu ya Mama SSH itaingia kazini kuijenga vyema Sinza P/S
 
Michangia mbunge wa eneo anahisi mnataka kumtoa, au kumtengenezea chuki kwa wananchi. Kama unataka kuamini jaribuni kutaka kuonesha mna mpango wa kkulisimamia wenyewe
 
Back
Top Bottom