Jambazi akamatwa akitubu dhambi Kanisani

Pamona na kwamba mimi sio Mkenya but police wanafanana utendaji kazi wako kwa nchi nyingi; sometimes kumkamata mwizi/jambazi sugu hua kuna tafsiri mbili, moja wapo ni hili sugu ambalo limeamua kuacha madhambi yake litaje basi MTANDAO wao, marafiki au majambazi yenzie ili na yenyewe yaingizwe kwa tageti, sababu nyingin ya pili ni kutaka kuionesha jamii kwamba sio kweli kwamba wao police ni mara zote hua wanaua, wakati mwingine hua wanawapeleka mahakamani, na usidhani huko magereza ndio mwisho wa mchezo, bado watatuma watu wao waendelee kumpeleleza hadi kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…