joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Hii ndio hasara ya kuwa na majirani wa hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo pia huku Kenya utembee mitaani urokote walemavu wenu kwa Kila jiji almost 20,000
MY TAKE: Hii ndio hasara ya kuwa na majirani wa hovyo
Wakunya nini shida?Njoo pia huku Kenya utembee mitaani urokote walemavu wenu kwa Kila jiji almost 20,000
Na majambazi wauza bangi[emoji1241][emoji706]mpaka South Afrika muko hivo hivo[emoji90]
si Amesema eti Kenya ni jirani hovyo nami nimemwonesha hovyo ni yeye na Tz!!👌Wakunya nini shida?
Mbona kama ume-panic?
Easy,easy buddy!si Amesema eti Kenya ni jirani hovyo nami nimemwonesha hovyo ni yeye na Tz!![emoji108]
Bangi naona imefika kwenye oblongataNjoo pia huku Kenya utembee mitaani urokote walemavu wenu kwa Kila jiji almost 20,000
Na majambazi wauza bangi🇹🇿🚮mpaka South Afrika muko hovyo hivo💩Nani hawajui?????
Mimi Sina shida na Tz it's just anger with people like Joto la jiwe!anakuanga na Chuki na Kenya Sana,everyday matusi,kutuombea mabayaEasy,easy buddy!
Chill out.
Sisi majirani bana.
natumiaga kinywaji,mizinga😎🍾🥂👌Bangi naona imefika kwenye oblongata
Wewe mluo nchini kwenu hamna forumnatumiaga kinywaji,mizinga😎🍾🥂👌
Binti mbona umehamaki?Njoo pia huku Kenya utembee mitaani urokote walemavu wenu kwa Kila jiji almost 20,000
Na majambazi wauza bangi🇹🇿🚮mpaka South Afrika muko hovyo hivo💩Nani hawajui?????
😂😂Wewe mluo nchini kwenu hamna forum
Sina mambo nikushangaa mbona kaniita hovyo na wananchi wangu wote kwaajili ya jambazi mmoja,afungwe kabisa!!Binti mbona umehamaki?
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Mimi Sina shida na Tz it's just anger with people like Joto la jiwe!anakuanga na Chuki na Kenya Sana,everyday matusi,kutuombea mabaya
I wonder if Kenya fails would he be happy then??
Mkuu, waulize hao wakenya wanavyotupakazia kwasababu ya watanzania wachache huko Kenya wanaopelekwa kuomba barabarani, kwani hawajui kwamba sio watanzania wote.Me ni mtanzania ila usitumie ushetani wa huyu mama kuwadharau wakenya wote no..kila nchi kuna watu wa ovyo sana!!iwe fundisho kwa majambazi wanaowaza kuiba kanisani badala ya kutumia hiyo fursa kutubu dhambi zake.
MY TAKE: Hii ndio hasara ya kuwa na majirani wa hovyo
Dah mdada wa Kikuyu jinsi kiswahili chake. Jamani wamsamehe tu. Haya ni mapito