Jambazi mwanamke Mkenya akamatwa akiiba kanisani Arusha

Jambazi mwanamke Mkenya akamatwa akiiba kanisani Arusha

Njoo pia huku Kenya utembee mitaani urokote walemavu wenu kwa Kila jiji almost 20,000
Na majambazi wauza bangi🇹🇿🚮mpaka South Afrika muko hovyo hivo💩Nani hawajui?????
Unateyea uovu wewe mbwiga?
 
Unateyea uovu wewe mbwiga?
sitetei nachukia wizi kwanza Tena Sana,Ila nivibaya sana Jambazi mmoja kulinganishwa na Wakenya wote!
Ata huku Kenya tumepata mpaka magaidi Waarabu Ila hatuwezi kusema eti Waarabu wote ni magaidi!
Ukinasa gaidi Peleka Jela ukihurumia shauri yako
 
sitetei nachukia wizi kwanza Tena Sana,Ila nivibaya sana Jambazi mmoja kulinganishwa na Wakenya wote!
Ata huku Kenya tumepata mpaka magaidi Waarabu Ila hatuwezi kusema eti Waarabu wote ni magaidi!
Ukinasa gaidi Peleka Jela ukihurumia shauri yako
Mbona ninyi mnatusema kwa baadhi ya watanzania ambao wapo huko Kama ombaomba?[emoji23][emoji23].

Wao kwanza hawafanyi kitendo chochote cha uhalifu, mnawapa pesa ninyi wenyewe kwa kupenda, lakini bado mnatusema vibaya, mkiguswa ninyi mnalalamika,l. By the way, hao wakenya majambazi ni wengi sio huyo pekee
 
Mbona ninyi mnatusema kwa baadhi ya watanzania ambao wapo huko Kama ombaomba?[emoji23][emoji23].

Wao kwanza hawafanyi kitendo chochote cha uhalifu, mnawapa pesa ninyi wenyewe kwa kupenda, lakini bado mnatusema vibaya, mkiguswa ninyi mnalalamika,l. By the way, hao wakenya majambazi ni wengi sio huyo pekee
ukitaka kuona Watanzania wengi out of Tanzania kuja Kenya,mumejaa uku sidanganyi
Na Kila mtanzania na kazi yake!hukosi majambazi pia Ila pia haturopokagi tunawaonaga Kama wakenya
 
ukitaka kuona Watanzania wengi out of Tanzania kuja Kenya,mumejaa uku sidanganyi
Na Kila mtanzania na kazi yake!hukosi majambazi pia Ila pia haturopokagi tunawaonaga Kama wakenya
Mbona hao ombaomba ambao ni hopeless group mnawasema vibaya na kutusimanga?, Kumbuka Tanzania ndiyo nchi yenye kuhifadhi wakenya wengi na kampuni nyingi za Kenya kuliko nchi yoyote hapa Africa, mbona hatuwasemi?, Mkituchokoza tutajibu kwa nguvu zote
 
Mbona hao ombaomba ambao ni hopeless group mnawasema vibaya na kutusimanga?, Kumbuka Tanzania ndiyo nchi yenye kuhifadhi wakenya wengi na kampuni nyingi za Kenya kuliko nchi yoyote hapa Africa, mbona hatuwasemi?, Mkituchokoza tutajibu kwa nguvu zote
shida ni hao walemavu hawaendi maeneo zengine za ghettos ama maeneo ya raia wa kawaida
Wanaenda straight to the CBD Yani town katikati kwenyewe😆wazungu ama investors wa Nchi zengine wanatushangaa tunawachilia aje walemavu wetu,mpaka wanaletaga noma sometimes hawaelewi hao walemavu wako kazini👌
Wwe ungetaka pia DAR CBD iwe hivyo??
 
Mbona hao ombaomba ambao ni hopeless group mnawasema vibaya na kutusimanga?, Kumbuka Tanzania ndiyo nchi yenye kuhifadhi wakenya wengi na kampuni nyingi za Kenya kuliko nchi yoyote hapa Africa, mbona hatuwasemi?, Mkituchokoza tutajibu kwa nguvu zote
shida ni hao walemavu hawaendi maeneo zengine za ghettos ama maeneo ya raia wa kawaida
Wanaenda straight to the CBD Yani town katikati kwenyewe ama maeneo ya matajiri estates😆wazungu ama investors wa Nchi zengine wanatushangaa tunawachilia aje walemavu wetu,mpaka wanaletaga noma sometimes hawaelewi hao walemavu wako kazini👌
Wwe ungetaka pia DAR CBD iwe hivyo??
 
shida ni hao walemavu hawaendi maeneo zengine za ghettos ama maeneo ya raia wa kawaida
Wanaenda straight to the CBD Yani town katikati kwenyewe[emoji38]wazungu ama investors wa Nchi zengine wanatushangaa tunawachilia aje walemavu wetu,mpaka wanaletaga noma sometimes hawaelewi hao walemavu wako kazini[emoji108]
Wwe ungetaka pia DAR CBD iwe hivyo??
Kwahiyo kati ya ombaomba na jambazi anayeua na kuiba Mali za watu, nani ni tatizo zaidi, au kwasababu mnataka kuwaridhisha wazungu?

Kwanza hamna sababu yoyote ya kulalamika, kwasababu ni jukumu la serikali yenu kuwadhibiti hao ombaomba, uzembe wa serikali yenu kushindwa kazi isiwe sababu ya kutulaumu, mbona sisi tumefanikiwa kuwadhibiti hao ombaomba na majambazi toka Kenya?
 
Mimi Sina shida na Tz it's just anger with people like Joto la jiwe!anakuanga na Chuki na Kenya Sana,everyday matusi,kutuombea mabaya
I wonder if Kenya fails would he be happy then??
huyo na 007 ni warogi huwajui., alafu waongo na propagandist, hawapendi ukweli..., facts ndio dawa ya mtanzania zezeta..,
 
Kwahiyo kati ya ombaomba na jambazi anayeua na kuiba Mali za watu, nani ni tatizo zaidi, au kwasababu mnataka kuwaridhisha wazungu?

Kwanza hamna sababu yoyote ya kulalamika, kwasababu ni jukumu la serikali yenu kuwadhibiti hao ombaomba, uzembe wa serikali yenu kushindwa kazi isiwe sababu ya kutulaumu, mbona sisi tumefanikiwa kuwadhibiti hao ombaomba na majambazi toka Kenya?
kwa walemavu tuna huruma sana si Wakenya👌
Lakini kwa majambazi si nimekushow ukishika Peleka Jela
Ata huku Kenya majambazi wengine ni watz tumepeleka jela,na hatupayuki,kwasababu ujambazi unaweza fanywa na yeyeote yule,ukishika Peleka Jela anakofaa??

Alafu ulitaka tufanyeje hao walemavu??tuwapeleke jela??ama tunyonge??ama tuwatupe bahari???
We Ungependa serikali ya Kenya iwafanyie aje hao walemavu sababu wengi ni watz wanasaka pesa??👌
 
Back
Top Bottom