Jambazi mwanamke Mkenya akamatwa akiiba kanisani Arusha

Jambazi mwanamke Mkenya akamatwa akiiba kanisani Arusha

kwa walemavu tuna huruma sana si Wakenya[emoji108]
Lakini kwa majambazi si nimekushow ukishika Peleka Jela
Ata huku Kenya majambazi wengine ni watz tumepeleka jela,na hatupayuki,kwasababu ujambazi unaweza fanywa na yeyeote yule,ukishika Peleka Jela anakofaa??

Alafu ulitaka tufanyeje hao walemavu??tuwapeleke jela??ama tunyonge??ama tuwatupe bahari???
We Ungependa serikali ya Kenya iwafanyie aje hao walemavu sababu wengi ni watz wanasaka pesa??[emoji108]
Mje mjifunze kwetu jinsi tupivyofanikiwa kuwadhibiti ombaomba mitaani.

Ninyi hamna huruma ni watu wanafiki Sana, Sasa Kama mna huruma kwanini mnawakashifu na kutusema vibaya?.Kenyanaongoza kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe, hiyo huruma mbona msifanyiane wenyewe kwa wenyewe kwanza?, Charity begins at home
 
Mje mjifunze kwetu jinsi tupivyofanikiwa kuwadhibiti ombaomba mitaani.

Ninyi hamna huruma ni watu wanafiki Sana, Sasa Kama mna huruma kwanini mnawakashifu na kutusema vibaya?.Kenyanaongoza kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe, hiyo huruma mbona msifanyiane wenyewe kwa wenyewe kwanza?, Charity begins at home
Sasa tuwafanyaje hao walemavu wa ???
 
Njooni mjifunze jinsi ya kudhibiti ombaomba na ujambazi ili nchi yenu iwe na amani
walemavu waliozaliwa Kenya wako nyumbani walipozaliwa wakichungwa vizuri,na serikali inawapiga macho Sana na usaidizi wowote wanayotaka wazazi wa wale walemavu wakenya wanapewa!
Ila changamoto ni wale walemavu ambao si Wakenya hao tutawafanyaje???
Ushai ona mlemavu ombaomba wa Kenya Daresalaam??na wangekuwepo mungewafanyia Nini???
Alafu hao walemavu wenu wanaokuja Kenya inaonekana mumewamepitishia mengi na hamuwataki🤔sio vizuri hivyo!!!!
 
Back
Top Bottom