Jambo ambalo lilikushangaza na hutolisahau baada ya kujiunga na elimu ya sekondari form 1

Nilishangaa kumuona mwalim anaechapa fimbo zinauma dunia nzima ZUMBA(mbalizi Sec)
 
Mi nakumbuka siku naripoti tulikuwa wawili na jamaa yangu mmoja kutoka usukumani, sasa mwalimu kutuona akamwambia jamaa(mwanafunzi mwenzangu) " mzazi hii shule yetu ni nzuri sana na wanafunzi wanafaulu vizuri tu, usiwe na wasiwasi na mwanao"
inaonekana ulikuwa mhenga tangu zamani
 
matusi eti
 
na kuna wanaotaka hiyo lugha itumike kufundishia hadi chuo.. kazi kweli.
 
yn mi pale sasa nilikua nagusa projectile motion....nagusa circular motion namalizia na simple harmonic motion.....yn hzo sehm tatu tu kwnye mechanics......sikutaka kujikondesha.
Mkuu acha,unanikumbusha Nelcon na Chandy aisee. Achilia mbali Roger
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…