Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Salaam.
Nilijiunga form one miaka kadhaa mingi iliopita.
Nilitokea shule ya msingi yakina sisi wanakayumba na kubahatika kuchaguliwa tena kuingia sekondari nayo ikiwa ni ya kata tu......madarasa manne tu vyoo vya kulenga....na ofisi ya waalimu ilikua ni darasa tu likabadilishwa matumizi.
Sio siri ile siku nimevaa suruali naingia darasani nikajikuta kila mda nachecheka mwenyewe kila nkikumbuka kuwa nimetoka kwenye mazoea ya kuvaa bukta.
JAMBO AMBALO SITOLOSAHAU...
Nikama baada ya week mbili kupita tukaanza kusoma.
Nakumbuka mwalimu wa physics alikua ndo yuko speed sana....siku ya tatu tu ya kusoma kwetu tukawa tumeingia ile topic ya ARCHIMENDES PRINCIPLE. (Ni density kama sijasahau)
Sio siri nilishangaa sana yule mzee aliposema eti inatakiwa tumeze gusestensi gote gule gwa Archimendes principle tena gwakingereza.
Yani kwa kifupi nilihisi anajaribu tu kuleta masihara kidogo mule darasani.
Darasa zima tulicheka mana tumetoka st kayumba na kizungu chenyewe hatuelew mpka mwalimu atafsiri kwa kiswahili tena kwa kurudia rudia, afu mtu anakuja tu et ""hii principle yote muimeze iwe kichwani"" khaaa......Tulihisi masihara tu anajaribu kuchekesha darasa kidgo......sio siri nilidata siku ile mpka kuanza kuhisi hata elimu ya sekondari labda nisingemaliza kwa kweli.
Sijui kwa nyie wenzangu....mi ilo ni moja ya mambo huwa nayakumbuka sana.
Nilijiunga form one miaka kadhaa mingi iliopita.
Nilitokea shule ya msingi yakina sisi wanakayumba na kubahatika kuchaguliwa tena kuingia sekondari nayo ikiwa ni ya kata tu......madarasa manne tu vyoo vya kulenga....na ofisi ya waalimu ilikua ni darasa tu likabadilishwa matumizi.
Sio siri ile siku nimevaa suruali naingia darasani nikajikuta kila mda nachecheka mwenyewe kila nkikumbuka kuwa nimetoka kwenye mazoea ya kuvaa bukta.
JAMBO AMBALO SITOLOSAHAU...
Nikama baada ya week mbili kupita tukaanza kusoma.
Nakumbuka mwalimu wa physics alikua ndo yuko speed sana....siku ya tatu tu ya kusoma kwetu tukawa tumeingia ile topic ya ARCHIMENDES PRINCIPLE. (Ni density kama sijasahau)
Sio siri nilishangaa sana yule mzee aliposema eti inatakiwa tumeze gusestensi gote gule gwa Archimendes principle tena gwakingereza.
Yani kwa kifupi nilihisi anajaribu tu kuleta masihara kidogo mule darasani.
Darasa zima tulicheka mana tumetoka st kayumba na kizungu chenyewe hatuelew mpka mwalimu atafsiri kwa kiswahili tena kwa kurudia rudia, afu mtu anakuja tu et ""hii principle yote muimeze iwe kichwani"" khaaa......Tulihisi masihara tu anajaribu kuchekesha darasa kidgo......sio siri nilidata siku ile mpka kuanza kuhisi hata elimu ya sekondari labda nisingemaliza kwa kweli.
Sijui kwa nyie wenzangu....mi ilo ni moja ya mambo huwa nayakumbuka sana.