Jambo ambalo lilikushangaza na hutolisahau baada ya kujiunga na elimu ya sekondari form 1

Jambo ambalo lilikushangaza na hutolisahau baada ya kujiunga na elimu ya sekondari form 1

Umenikumbusha..mwalimu wa physics nae alikua kama huyo wenu akiingia darasani kabla ya salamu kila mmoja anasimama na kuanza kustate Archimedes principle..nilikua nachukia somo lake
 
Mimi nakumbuka Ile Mara ya kwanza nimetoka st kayumba halafu nikapangwa kuongea debate
 
Me nakumbuka tu kwenda Maputo inabidi nguo zote uziache nje maana hali ya kule haikua shwari kabisa. Nilikua kipande ya Agrrey pia mkuu.
hahaha hali ya hewa kule maputo kama mgeni mwanzoni unaweza ukaumwa
 
Mie siku ya kwanza nimeenda kuripoti form 1, nikashangaaa kukuta mwalimu ni kavulana tu kama mimi...nikawaza huyu alirukishwa madarasa au mimi ndo nilicheleweshwa kuanza shule?!
afu hivo vinakuwa vinatembeza bakora kinomaaa
 
Nakumbuka nilimaliza form 1 bila kuongea na MTU darasan coz kidhungu kilikuwa hakipandi pia skuwah kwenda chooni mpaka namaliza form 1 nilkuwa mwoga Wa watoto Wa mjini maana Mimi nilkuwa nimetoka bush na nikaenda kusoma shule ya private ya watoto Wa kishua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilkuwa nikiingia darasan asubuh kutoka mpaka muda Wa kurudi nyumban
duuh ulikua mtoto mzur sana ww......mi nikiingia tu baada ya dk kumi naanza kuwaza nje
 
kuna kitu inaitwa "touch' nadhani ni hiyo naweza kukumbuka (touch ni namna mwanaume kumshika mdada maungoni kama kwenye foreplay ), hii kitu ilikua na radha yake aisee.
aiseee
 
uwiiiii sio weye tu......nina machungu na hawa wazungu walioleta elimu yao...bora wangetuacha tuwe uchi tu
lile somo lina heshima yake.....sisi waafrica tutaishia kumeza tu
 
Umenikumbusha..mwalimu wa physics nae alikua kama huyo wenu akiingia darasani kabla ya salamu kila mmoja anasimama na kuanza kustate Archimedes principle..nilikua nachukia somo lake
Zile principle mara ya kwanza mi niliona kama wanatuchora tu
 
Back
Top Bottom