Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?

Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?

Ninavyo visa vingi kwa kweli.

1. Nilimpiga mpz wangu kiasi Cha kumuumiza sababu nilimkuta anaongea na jamaa kwenye Giza. Kumbe n kaka ake mtoto wa mama ake mkubwa. Ana alama mdomoni mpaka leo
Aliponiambia sikutaka kumuamini. Baadae kuja kugundua ukweli daah inaniuma sana Hadi Leo.
Sasa hivi n rafiki yangu mkubwa, ameolewa na ana watoto watatu.

Ananiambiaga hajawahi kupigwa kama vile ktk maisha yake mpaka sasa.
Wivu
 
Nilimsaliti mwanamke wangu ambae nimedumu nae kwa Miaka sita na Kuja kujua mchepuko anaruka na ungo iliniuma sana. Ukiachana na mambo ya kuniloga Mimi na mwanamke wangu. Yule dada aliniweza. Ila nimejifunza sana Hawa viumbe nawafaidi kwa macho. Sitaki stress za mapenzi [emoji4][emoji4]


Najutia kwanza yule mchawi alitupanga wanaume watatu. Mie niligonga mchana mwamba akagonga usiku alizima siku nzima akapelekwa hospital kijaziwa maji hapo tukakutana Kila mjinga kaleta kiepe, wakati mie nimeleta na mishikaki wana wameleta vipaja. Tena mjinga mmoja kaleta vipaja viwili wale wote[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
nlikuwaga na demu alikuwa ananipenda sana,
alitamani nimuoe,alikuwa ananiamini sana pia alikuwa ananisikiliza sana
kipindi hichohicho nlikuwa na demu flani alikuwa amenizidi umri,yule demu aliniambia nikamgegede alafu kipindi hicho nlikuwa doro mfukoni ikabidi nikamdanganye yule demu wangu anayenipenda,,alinipa 20000 then nikaenda kulipia Lodge nikamgonga yule demu mwingine aliyenizidi umri,,
hiyo kitu ilinitesa sana moyoni mpaka nlipokuja kugundua yule demu wangu anayenipenda sana kumbe alikuwa na jamaa mwingine kisirisiri,,
ilibidi nimwambie ile hela uliyonipaga nilienda kugegedea demu mwingine,,
alafu sikuwahi kujibu sms yake toka hiyo siku
Nimeipenda hii
 
Kuna demu alinipenda sana kipindi hicho, nimechoka vibaya sina mbele wala nyuma, lakini bado yule mtoto aliendelea kuniganda na kunisikiliza. Mwaka nilipohitimu shahada, yeye pia alihitimu stashahada. Mwenzangu akapata kazi kabla yangu na alipata kazi mkoa tofauti na ule tulioishi, lakini alikuwa anafunga safari kunifata kwa gharama yake. Sitoi hata mia na alikuwa akija, tunaenda zetu lodge, tunalala siku mbili au tatu, tunakula kwa gharama zake. Kipindi hicho bado ninaishi kwa wazazi, na akiondoka bado ananiachia pesa. Tulidumu kwenye mahusiano kwa miaka isiyopungua mitano. Kimsingi kulikuwa na sura nzuri na umbo la kawaida, hakua flat screen, kitu ambacho sikipendi kuhusu yule mwanamke ni miguu. Alikuwa na miguu myembamba sana, jamani, na yeye mwenyewe alijua hilo. Tukikaa, alikuwa anasema kabisa, "Mmm, miguu yangu mibaya."

Kipindi nilipomwacha, sikuweza kumwambia tuachane, ila matukio niliyokuwa nampiga, plus kukaa kimya bila hata kumjulia hali zaidi ya siku mbili, akajiongeza tuuu kwamba ashapigwa chini, na ndio ukawa mwisho wetu. Alikuja kunitext WhatsApp miezi kadhaa baadaye, tukachati kidogo, na akaniambia, "Wewe mwanaume, nilikupenda sana, lakini haikuwa riziki yangu," nikaishia kucheka tuuu.

Nikiri tu kwamba tangu niachane na yule binti, sikuwahi tena kupata mwanamke aliyenipenda kama vile. Sasa ameshavishwa pete ya uchumba, hivi karibuni ataolewa.
 
Kuna demu alinipenda sana kipindi hicho, nimechoka vibaya sina mbele wala nyuma, lakini bado yule mtoto aliendelea kuniganda na kunisikiliza. Mwaka nilipohitimu shahada, yeye pia alihitimu stashahada. Mwenzangu akapata kazi kabla yangu na alipata kazi mkoa tofauti na ule tulioishi, lakini alikuwa anafunga safari kunifata kwa gharama yake. Sitoi hata mia na alikuwa akija, tunaenda zetu lodge, tunalala siku mbili au tatu, tunakula kwa gharama zake. Kipindi hicho bado ninaishi kwa wazazi, na akiondoka bado ananiachia pesa. Tulidumu kwenye mahusiano kwa miaka isiyopungua mitano. Kimsingi kulikuwa na sura nzuri na umbo la kawaida, hakua flat screen, kitu ambacho sikipendi kuhusu yule mwanamke ni miguu. Alikuwa na miguu myembamba sana, jamani, na yeye mwenyewe alijua hilo. Tukikaa, alikuwa anasema kabisa, "Mmm, miguu yangu mibaya."

Kipindi nilipomwacha, sikuweza kumwambia tuachane, ila matukio niliyokuwa nampiga, plus kukaa kimya bila hata kumjulia hali zaidi ya siku mbili, akajiongeza tuuu kwamba ashapigwa chini, na ndio ukawa mwisho wetu. Alikuja kunitext WhatsApp miezi kadhaa baadaye, tukachati kidogo, na akaniambia, "Wewe mwanaume, nilikupenda sana, lakini haikuwa riziki yangu," nikaishia kucheka tuuu.

Nikiri tu kwamba tangu niachane na yule binti, sikuwahi tena kupata mwanamke aliyenipenda kama vile. Sasa ameshavishwa pete ya uchumba, hivi karibuni ataolewa.

Aisee pole sana mkuu hii iwe fundisho sasa
 
Kuna dem nilimkopesha ela nyingi tu baada ya kuja analia na shida kibao alaf mda wa kulipa akaanzaga nyodo dadeq nikamuitaga geto kiroho Safi nilichomfanyiaga ni zaidi ya thamani ya pesa niliyompa na roho yangu ikaridhika
 
Hao wapenzi wako ulikuwa mzigo kwao kwakuwa hata kuandika hujui. Ni heri uliachana nao wapate watu sahihi.
Sio kila mtu kafundishwa kusoma na kuandika na mwalimu juma ...wengine kiswahili wamejifunzia ukubwani toka nje ya box
 
Sio kila mtu kafundishwa kusoma na kuandika na mwalimu juma ...wengine kiswahili wamejifunzia ukubwani toka nje ya box

Walimu kila sehemu yeye anajua ni darasani.anaacha kujikita kwenye mada yeye anaanza kutafuta makosa ya kiuandishi wa herufi za R na L[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom