Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?

Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?

Nilimnunulia simu ya gharama kwenye birthday yake tulivyokosana nikaichukua kwa lazima, Ile kupekua, nilikutana na ma vedio ya hovyo anatumia majamaa wengine roho iliniuma sana nikatamani ata nisingechukua Ile simu ningemuachia. Hadi leo nikikumbuka natamani hata nimfanyie kitu mbaya

Duh pole sana mkuu!
 
Ninavyo visa vingi kwa kweli.

1. Nilimpiga mpz wangu kiasi Cha kumuumiza sababu nilimkuta anaongea na jamaa kwenye Giza. Kumbe n kaka ake mtoto wa mama ake mkubwa. Ana alama mdomoni mpaka leo
Aliponiambia sikutaka kumuamini. Baadae kuja kugundua ukweli daah inaniuma sana Hadi Leo.
Sasa hivi n rafiki yangu mkubwa, ameolewa na ana watoto watatu.

Ananiambiaga hajawahi kupigwa kama vile ktk maisha yake mpaka sasa.

[emoji23][emoji23][emoji23]inaelekea ulimpa kipigo kitakatifu
 
demu wangu mmoja hv alikuwa ananipenda sana tena sana nikawa nimemchoka maana alikuwa na shepu zuri ila sura, kumuacha ilikuwa ngumu nikampanga jama nikatengeneza fumanizi. ngoja ni stop ila najutia maana kaolewa ila nikiongea nae mpaka leo analaumu sana.
 
demu wangu mmoja hv alikuwa ananipenda sana tena sana nikawa nimemchoka maana alikuwa na shepu zuri ila sura, kumuacha ilikuwa ngumu nikampanga jama nikatengeneza fumanizi. ngoja ni stop ila najutia maana kaolewa ila nikiongea nae mpaka leo analaumu sana.

Kinachobakia ni maumivu tu hasa akishamove on
 
Nilimuacha mwanamke anayenipenda na kunisikiliza alikuwa tayari kwa lolote juu yangu. Alinialika kwenye graduation yake sikwenda ikatokea sherehe nyingine sikutokea tena kisa starehe hasa pombe. Ndiyo ikawa mwisho huo.

Mwingine tuliachana baada ya yeye kusafiri nikahamishia penzi kwa jirani yake nikafa nikaoza kumbe alikuwa kahaba mmoja tu. Bado huyo mwanamke akanifuata akanibembeleza kuwa napotea na nimesahau nilipotoka naye, akanifuata na kunisihi niachane na kahaba sikusikia basi ikawa mwisho.

Mwingine tulikuwa na mahusiano primary mpaka chuo, kutokana nakuipa kipaumbele pombe na anasa, nikaitwa niende mlimani nikamfariji nikajitia mjuaji hiyo ni baada ya kumsumbua sana kuna muda nilitoka na marafiki zake.

Mikasa ni mingi yakuumiza wadada.
 
Back
Top Bottom