Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.