Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Tukio la liniYanga Day hukumuona?š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukio la liniYanga Day hukumuona?š¤£
Ndio umefanyaje?Mwenyewe anasema uharibifu wa mazingira
Mh Makamu wa Rais ana hadhi na cheo cha amfariji wa Taifa. Aje atutie moyo na kutupa poleUnataka afanye kama mtangulizi wake?
Yanga Day.Tukio la lini
Kilichomuibua hadharani ni CoronaHuyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Lile ni tukio la furaha sio la kushtushaYanga Day.
Aliyekuwa anaongea na SSH kwenye simu uwanjani.
Alishapewa maelekezo akar kimya. Si unakumbuka kipindi amekula kiapo cha u VP alianza kama yeye ndiye mkuu wa ikulu.Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
šš¤£šššš¤£šAlishapewa maelekezo akar kimya. Si unakumbuka kipindi amekula kiapo cha u VP alianza kama yeye ndiye mkuu wa ikulu.
Hukumsikia may mosi 2024?Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Kila mtu anajua ni Bora wakati wake kuliko Sasa....Sina uhakika kama wakati wa utawala wa Magufuli mambo yalikuwa yanaenda vizuri sana, ninachojua yalakuwa yanaenda anavyotaka, lakini sio lazima iwe yalikuwa yanaenda kwa usahihi.
Mimi ni mmojawapo wa kila mtu, ila sioni huo ubora usemao. Kwangu hofu, na nidhamu za kinafiki sio ubora wa uongozi. Huenda tunatumia vipimo tofauti kufikia hitimisho.Kila mtu anajua ni Bora wakati wake kuliko Sasa....
Kwa kila kitu.
Alishawaambia yeye anaogopa na anatetemeka hata akiachiwa nchi hajui pakuanziaHuyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Labda Rais wa nyie waha, huyo hafai hata kidogo,Naamini Mpango ndie Mtu pekee CCM inaweza msimamisha kugombea URAIS baada ya SSH kuondoka
Huyu mshua kama anaandaliwa hivi maana nahisi ndio kombora pekee lisilo na makando kando CCM
Huyo Mwamba haelewi na haelewani na wengi huko koridoni. Sema tu basi!Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Duh, nimecheka sana kwa ujumbe wako.Alipopatwa na kupona Uviko 19 then akaja hadharani huku akilia na kutokwa na makamasi na udenda akitusihi watanzania wenye viburi na ubishoo kuvaa barakoa. Toka hapa sijamuona tena na sijuwi kama bado yupo.
TUPOLabda Rais wa nyie waha, huyo hafai hata kidogo,
Ni bora tu samia aongoze hadi 2056 kuliko huyo asiyejua hata kuongea