Jambo gani la kushtusha la kitaifa liliwahi kumwibua hadharani Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango?

Jambo gani la kushtusha la kitaifa liliwahi kumwibua hadharani Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango?

Hukuwahi kufikiria kuwa mbunge, waziri au hata VP..

Nafikiri aliteuliwa na Magu tu kuwa mbunge kisha waziri..

Hana uzoefu wa siasa ameingia juzi juzi 2018 ni lile kundi ya kina ndalichako
 
Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.

Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.

Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.

Amina.
Unakosea sana.
Makamu wa rais ni;
Mbadala wa rais ikiwa rais hatakuwepo nchini au mgonjwa au vinginevyo.

Hana la kusema iwapo bosa wake yupo.
Kwa kifupi makamu wa rais ni sawa na mke akiwa nyumbani na mumewe, mume ndiye mwenye kauli ya mwisho
 
Unakosea sana.
Makamu wa rais ni;
Mbadala wa rais ikiwa rais hatakuwepo nchini au mgonjwa au vinginevyo.

Hana la kusema iwapo bosa wake yupo.
Kwa kifupi makamu wa rais ni sawa na mke akiwa nyumbani na mumewe, mume ndiye mwenye kauli ya mwisho
Kumbe ndio Protocol
 
Hukuwahi kufikiria kuwa mbunge, waziri au hata VP..

Nafikiri aliteuliwa na Magu tu kuwa mbunge kisha waziri..

Hana uzoefu wa siasa ameingia juzi juzi 2018 ni lile kundi ya kina ndalichako
Waliingia kwa Merit ya Usomi tu, nje ya vitabu hawana kitu kingine?
 
Back
Top Bottom