Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sabaya alitumwaga na nani vile?Huyu mzee ni mpole sana
Kutumwa wapi?Sabaya alitumwaga na nani vile?
😂😂😂 DukaniKutumwa wapi?
Alipopatwa na kupona Uviko 19 then akaja hadharani huku akilia na kutokwa na makamasi na udenda akitusihi watanzania wenye viburi na ubishoo kuvaa barakoa. Toka hapa sijamuona tena na sijuwi kama bado yupo.Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Huyu mzee ni mpole sana
mauaji ya familia moja huko zanka, dodoma. Alitoa siku 7 kwa vyombo....Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Sina uhakika kama wakati wa utawala wa Magufuli mambo yalikuwa yanaenda vizuri sana, ninachojua yalakuwa yanaenda anavyotaka, lakini sio lazima iwe yalikuwa yanaenda kwa usahihi.Kifupi ni hivi toka Maghufuri alipofariki, kila kitu kinajiendea tu.
Mbona mara nyingi huongea,au umeamua kupiga jiwe mzinga wa nyuki?Huyu Mkatukumeni na Mlei mwenzangu ambaye ni Makamu wa Rais wa JMT sijawahi kumsikia aki address jambo lolote liwe kubwa au dogo hasa kama linagusa maisha na hisia za Raia.
Ama kwakuwa sifahamu protocali za uongo pengine ndio sababu.
Mh Dr Mpango sema chochote kuhusu Kadhia hii inayoendela na umsaidie Mh Rais Samia kuizima na kupambana nayo na roho zetu zipone.
Amina.
Nimemshtua tu ili aje kututeteaMbona mara nyingi huongea,au umeamua kupiga jiwe mzinga wa nyuki?