greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Niliyojivunia:
1. Nilipata safari ya kikazi mkoani Kagera wilaya ya Ngara. Kwenye lile basi raia wengi walikuwa ni wa Rwanda na Burundi. Wakati nipo kwenye basi, nilishuhudia wale jamaa walikuwa wakiongea kwa kuangaliana makabila tu, yaani Mhutu kwa Mhutu au Mtutsi kwa Mtutsi hata kama wamekaa siti moja, Mhutu na Mtutsi hawaongeleshani.
2. Nilienda kikazi nchini Zambia, nyimbo za wasanii wa Bongo zinapigwa sana. Diamond, Harmonize, Rayvan ni majina maarufu.
3. Nilienda Malawi kikazi, nilipata bidhaa nyingi sana zinazotoka makampuni ya Bongo, kama vile vinywaji vya Azam na Mo. Sheli za kampuni ya Meru ni nyingi sana. Barabara za Bongo ni nzuri sana.
4. JWTZ:
- Ilizuia mapinduzi Comoro.
- Imesaidia kupata amani Msumbiji.
- Ilisaidia Malawi katika mafuriko.
Ya haibu:
1. Katika safari ya Zambia, wale wajamaa ni waaminifu sana, hawana longolongo kwenye biashara. Kulikuwa na story nyingi sana za wafanyabiashara wa Zambia waliotapeliwa Bongo.
2. Mbunge fulani kusimama bungeni na kuuliza, "Kwanini Serikali imesitisha uzalishaji/usambazaji wa sarafu kama shilingi 1, shilingi 5 na 10, haioni kama watoto watakuwa hawazijui?" Cha haibu ni kuwa huyu mbunge ameshawahi kukaa ikulu kwa miaka 10, yani alipataje ubunge hutu.
3. Kiongozi mkubwa kutoa tamko la kuzuia asiyeoga kufika katikati ya Jiji la Dar. Halafu ilikuwa kipindi cha joto kali sasa.
Matukio ya haibu ni mengi...
1. Nilipata safari ya kikazi mkoani Kagera wilaya ya Ngara. Kwenye lile basi raia wengi walikuwa ni wa Rwanda na Burundi. Wakati nipo kwenye basi, nilishuhudia wale jamaa walikuwa wakiongea kwa kuangaliana makabila tu, yaani Mhutu kwa Mhutu au Mtutsi kwa Mtutsi hata kama wamekaa siti moja, Mhutu na Mtutsi hawaongeleshani.
2. Nilienda kikazi nchini Zambia, nyimbo za wasanii wa Bongo zinapigwa sana. Diamond, Harmonize, Rayvan ni majina maarufu.
3. Nilienda Malawi kikazi, nilipata bidhaa nyingi sana zinazotoka makampuni ya Bongo, kama vile vinywaji vya Azam na Mo. Sheli za kampuni ya Meru ni nyingi sana. Barabara za Bongo ni nzuri sana.
4. JWTZ:
- Ilizuia mapinduzi Comoro.
- Imesaidia kupata amani Msumbiji.
- Ilisaidia Malawi katika mafuriko.
Ya haibu:
1. Katika safari ya Zambia, wale wajamaa ni waaminifu sana, hawana longolongo kwenye biashara. Kulikuwa na story nyingi sana za wafanyabiashara wa Zambia waliotapeliwa Bongo.
2. Mbunge fulani kusimama bungeni na kuuliza, "Kwanini Serikali imesitisha uzalishaji/usambazaji wa sarafu kama shilingi 1, shilingi 5 na 10, haioni kama watoto watakuwa hawazijui?" Cha haibu ni kuwa huyu mbunge ameshawahi kukaa ikulu kwa miaka 10, yani alipataje ubunge hutu.
3. Kiongozi mkubwa kutoa tamko la kuzuia asiyeoga kufika katikati ya Jiji la Dar. Halafu ilikuwa kipindi cha joto kali sasa.
Matukio ya haibu ni mengi...