Mczigga
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 722
- 1,272
ni haibu kwa kweliNi jambo la “Haibu” sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni haibu kwa kweliNi jambo la “Haibu” sana.
Hao ni wajinga sana. Ukisema I'm from Tanzania. Wao wanasema Oh Tasmania. Nice country full of Kangaroos. Unabaki unacheka.Nenda Ulaya na Marekani sasa.
Kule ukisema unatokea Tanzania wanakuuliza Iko wapi hii?
Ukiwapa ufafanuzi kuwa ni Nchi inayomiliki Mlima Kilimanjaro, wanakwambia mbona huu Mlima sisi tunajua uko Kenya?
"Haibu" sana..
Jinsi ambavyo hamna akili mnadhani kila anaewapinga nzi wa kijani kwamba ni chadema hovyo kabisa nyie 🚮🚮H
Hamia burundi hakuna CCM huko ni chadomo tu
Hahaha! Mpaka waheshimiwa wanatapeli raia.Hiyo namba 7,,
Yani Bongo ndiyo kama Nigeria ya nchi za SADC...
Kwa kulinganisha na nchi nyingi Africa, Tanzania ni mbinguni ndogo 😆😆😆2015-2018 nilipata kwenda Burundi, Rwanda na South Sudan... Maisha na suffering za huko zikanifanya nione TZ kama tupo tofauti sana...
Tumekosa tu wanasiasa wenye hasira ya kulisogeza taifa mbali zaidi.... Tungekuwa mbali sana.Kwa kulinganisha na nchi nyingi Africa, Tanzania ni mbinguni ndogo 😆😆😆
Kama Tanzania ni Mbingu ndogo,,,mbona ni balaa huko tuendako baada ya kifoTumekosa tu wanasiasa wenye hasira ya kulisogeza taifa mbali zaidi.... Tungekuwa mbali sana.
😂😂😂Why you guys you dont have METRO?
nikamjibu Na ng'oko