Jambo gani lililowahi kukufanya ujisikie aibu/Ujivunie Utanzania wako?

Fedheha na aibu nyingine ni Mtanzania mtoa mada asiyejua kuandika AIBU, yeye anaandika HAIBU. Huko Zambia na Malawi nadhani alijinadi anajua Kiswahili vizuri.
🤗🤣🤣🤣😂
Well hapo ni auto-correct ndiyo imeniferisha bila mie kujua mkuu....
 
Wahutu na Watusi lugha yao ni moja Kinyarwanda. Hakuna lugha inayoitwa ya kabila la Kitusi au ya Kuhutu.

Labda useme walikuwa wanaongeleshana kwa kuangalia urefu wa pua, wembamba wa miili na urefu wa kimo
Huyu jamaa amebuni tu haya aliyoandika. Halafu ana chembe chembe za uchawa!
 
Nilifika msumbiji,
1. simba na yanga zinashangiliwa na jezi wanavaa
2. Kiswahili safi kinaongelewa kama bongo
3. Bongofleva inapigwa kila sehemu
4. Wanaangalia channel za tv za kibongo na favourite yao ilikuwa ETV ya majizo
5. Wanaamini bongo ni nchi yenye maendeleo makubwa kama South Africa
6. Mwamposa ndo mtumishi anaeminika sana kule kiasi kwamba ndoto za wakristo wengi ni kufika kawe siku moja
7. Wanaamini kila mbongo hachelewi kukutapeli akijua ni wakuja hasa kutoka nchumbiji
 
Kiongozi mmoja kusema kuwa jina la Tume ya Uchaguzi litabadilishwa kuwa Tume Huru ya Uchaguzi eti itaifanya tume husika kuwa huru... Niliona aibu miye
Ni sawa na mbwa umuite simba
Mbwa ni mbwa tu.
 
Kutojua kiingereza , oya kuna wana nchi angalau wanatema yai sio mchezo !!

Hii mibroken inanikosesha vitu vingi jamani 😆😆😆
 
Hiyo namba 7,,
Yani Bongo ndiyo kama Nigeria ya nchi za SADC...
 
sio haibu ni aibu
 
Vijana kutoka vijijini na kukimbilia mjini. Hii ni aibu!!

KAZI ni kipimo cha UTU
 
Huwa nikicheza mechi za online za game FIFA nikifungwa sana huwa najitambulisha kama MKENYA. Siwezi kulifedhehesha taifa langu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…