greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
- Thread starter
-
- #21
🤗🤣🤣🤣😂Fedheha na aibu nyingine ni Mtanzania mtoa mada asiyejua kuandika AIBU, yeye anaandika HAIBU. Huko Zambia na Malawi nadhani alijinadi anajua Kiswahili vizuri.
Huyu jamaa amebuni tu haya aliyoandika. Halafu ana chembe chembe za uchawa!Wahutu na Watusi lugha yao ni moja Kinyarwanda. Hakuna lugha inayoitwa ya kabila la Kitusi au ya Kuhutu.
Labda useme walikuwa wanaongeleshana kwa kuangalia urefu wa pua, wembamba wa miili na urefu wa kimo
Itakua Kanda ya ziwa hatuna r na l na h tunabutua😂😂😂😂😂 nlijua tu hii “haibu” italeta shida, mleta mada ni mtanzania wa wapi mbona “haibu” naona mimi
Duh,Kwahyo hapa Bongo kila mtu ni chawa ....sasa mbona itakuwa balaa......Huyu jamaa amebuni tu haya aliyoandika. Halafu ana chembe chembe za uchawa!
Ni sawa na mbwa umuite simbaKiongozi mmoja kusema kuwa jina la Tume ya Uchaguzi litabadilishwa kuwa Tume Huru ya Uchaguzi eti itaifanya tume husika kuwa huru... Niliona aibu miye
Weeh,tulieni, mi na Kanda ya Ziwa wapi na wapi...🤣🤣🤣Itakua Kanda ya ziwa hatuna r na l na h tunabutua
Hiyo namba 7,,Nilifika msumbiji,
1. simba na yanga zinashangiliwa na jezi wanavaa
2. Kiswahili safi kinaongelewa kama bongo
3. Bongofleva inapigwa kila sehemu
4. Wanaangalia channel za tv za kibongo na favourite yao ilikuwa ETV ya majizo
5. Wanaamini bongo ni nchi yenye maendeleo makubwa kama South Africa
6. Mwamposa ndo mtumishi anaeminika sana kule kiasi kwamba ndoto za wakristo wengi ni kufika kawe siku moja
7. Wanaamini kila mbongo hachelewi kukutapeli akijua ni wakuja hasa kutoka nchumbiji
Haha ulivyosema mnabutua umenikumbusha kina mwinjaku walivyokuwa wanahamasisha kina msuva Afcon eti “ msuva, ukiipata piga kwa mbali, butua 😂😂😂”Itakua Kanda ya ziwa hatuna r na l na h tunabutua
Hamia burundi hakuna CCM huko ni chadomo tuCcm na watu wao ndio sababu kuu ya Watanzania wengi kujuta kuzaliwa Tanzania
sio haibu ni aibuNiliyojivunia:
1. Nilipata safari ya kikazi mkoani Kagera wilaya ya Ngara. Kwenye lile basi raia wengi walikuwa ni wa Rwanda na Burundi. Wakati nipo kwenye basi, nilishuhudia wale jamaa walikuwa wakiongea kwa kuangaliana makabila tu, yaani Mhutu kwa Mhutu au Mtutsi kwa Mtutsi hata kama wamekaa siti moja, Mhutu na Mtutsi hawaongeleshani.
2. Nilienda kikazi nchini Zambia, nyimbo za wasanii wa Bongo zinapigwa sana. Diamond, Harmonize, Rayvan ni majina maarufu.
3. Nilienda Malawi kikazi, nilipata bidhaa nyingi sana zinazotoka makampuni ya Bongo, kama vile vinywaji vya Azam na Mo. Sheli za kampuni ya Meru ni nyingi sana. Barabara za Bongo ni nzuri sana.
4. JWTZ:
- Ilizuia mapinduzi Comoro.
- Imesaidia kupata amani Msumbiji.
- Ilisaidia Malawi katika mafuriko.
Ya haibu:
1. Katika safari ya Zambia, wale wajamaa ni waaminifu sana, hawana longolongo kwenye biashara. Kulikuwa na story nyingi sana za wafanyabiashara wa Zambia waliotapeliwa Bongo.
2. Mbunge fulani kusimama bungeni na kuuliza, "Kwanini Serikali imesitisha uzalishaji/usambazaji wa sarafu kama shilingi 1, shilingi 5 na 10, haioni kama watoto watakuwa hawazijui?" Cha haibu ni kuwa huyu mbunge ameshawahi kukaa ikulu kwa miaka 10, yani alipataje ubunge hutu.
3. Kiongozi mkubwa kutoa tamko la kuzuia asiyeoga kufika katikati ya Jiji la Dar. Halafu ilikuwa kipindi cha joto kali sasa.
Matukio ya haibu ni mengi...
🤣🤣Ni jambo la “Haibu” sana.
Mtaniua aiseeeh, khaaa....🤣🤣🤣Jamaa una balaa zito , tunashukuru lakini tushajua sio bahati mbaya
🤣🤣🤣🤣Unarudia kosa tena mkuu? Kweli umechanganyikiwa😀😀
Ila hizo aibu ulizoandika hapo no 2 na 3 ni aibu kweli kweli
Pole mkuuMtaniua aiseeeh, khaaa....
Yani mpaka kuitwa chawa mara msukuma dah...😂🤣🤣🤣