Jambo gani linakufanya usimsahau kamwe yule Fundi Nguo?

Jambo gani linakufanya usimsahau kamwe yule Fundi Nguo?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kuna mafundi nguo wazuri na wazinguzi. Kila mmoja huenda ana jambo lake linalomfanya kamwe asimsahau fundi nguo fulani labda kwa uzuri au ubaya.

Share with us kilichojiri kwenye comments...
 
Nilipekeka jeans jeusi apunguze kiuno nilikaa Kama siku tano siku naenda kuchukua ananipa jeans la blue afu Lina kacha Kama zote,,ilikuwa ugomvi mkubwa ila nilipotezea tu
 
Back
Top Bottom