Jambo gani linakufanya usimsahau kamwe yule Fundi Nguo?

Jambo gani linakufanya usimsahau kamwe yule Fundi Nguo?

Siwezi kunyanyua mguu wangu kutoka nyumbani eti nimevaa kitenge[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hebu vaa bro afu mnitumie picha zenu mlivyowaka na sisy Joh
 
Tutakutumiaje picha ya pamoja...
Joannah yupo Burundi, mimi nipo Nanjilinji?[emoji23]

Sasa si ndio utoke huko Nanjilinji umfate sisy Burundi mkapate picha ya pamoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unafeli wapi bro?
 
Yule fundi hata kupokea nguo hakuipokea. Nilitaka apunguze ukubwa wa kigauni changu kiweze kunitosha vizuri, akanijibu yeye huwa hashoni viraka. Sinaga hamu na yule Baba.
 
Kitenge ndio kizuri sisy mnaonekana kweli ndoa yenu ina amani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakika mdogo wangu,hujakosea....ila naona wataturoga Sasa hivi unavyoisifisia ndoa yetu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilipeleka kitambaa cha suti Miezi 3 kabla ya tukio, ila kila nikienda napigwa tarehe mbele. Mara ya mwisho nafika fundi simuoni wapo wasaidizi nguo hawajaanza kushona. Nikawaambia nipeni Kitambaa wanasema hawajui kilipo, hapo nimefura vibaya sana tukio kesho kutwa na nguo ya maana Sina zaidi ni jeans tu ndo zipo ndani. Katika harakati za kutafuta kitambaa ndani kwenye maboksi Moja wapo nikamkuta fundi mkuu! kumbe waliniona akaingia kwenye boksi Moja kubwa wakamfunika kwa vitambaa. Nilimsimamia kuanzia saa 9 alasiri kufika saa 11 alfajiri suti imeisha.

ITOSHE KUSEMA HAKUNA WATU WAONGO KAMA MAFUNDI WA KUSHONA NGUO HASA WALE MAARUFU.
 
Uzi ushavamiwa huu. Unapoteza maana.

Binafsi nilipeleka kitambaa Cha suti miezi mitatu kabla ya tukio Ila kila nkienda napigwa tarehe mbele. mara ya mwisho nafika fundi simuoni wapo wasaidizi nguo hawajaanza kushona. nikawaambia nipeni kitambaa wanasema hawajui kilipo hapo nmefura vibaya sana tukio kesho kutwa na nguo ya maana Sina zaidi ni jeans tu ndo zipo ndani.
Katika harakati za kutafuta kitambaa mke ndani kwenye maboksi Moja wapo nikamkuta fundi mkuu kumbe waliniona akaingia kwenye boksi Moja kubwa wakaweka vitambaa juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nilimsimamia fala yule kuanzia saa 9 alasiri kufika saa 11 alfajiri suti imeisha.

ITOSHE KUSEMA HAKUNA WATU WAONGO KAMA MAFUNDI WA KUSHONA NGUO HASA WALE MAARUFU.
Utapata hypertension kuchukulia mambo ya mitandaoni serious.
 
Back
Top Bottom