Jambo gani linakufanya usimsahau kamwe yule Fundi Nguo?

Jambo gani linakufanya usimsahau kamwe yule Fundi Nguo?

Khaa! Sipendi mwanaume avae kitenge sijui naonaje [emoji21][emoji21][emoji21] au manguo kama yale wanavaa wanaume wa kinigeria kama magauni haki tena mtu akivaa vile sijui namuonaje.
Kuna wanawake wanapenda kushona sare na waume zao, za kitenge na kanga, fika Kigoma mbona utafurahi😂😂
 
Khaa! Sipendi mwanaume avae kitenge sijui naonaje [emoji21][emoji21][emoji21] au manguo kama yale wanavaa wanaume wa kinigeria kama magauni haki tena mtu akivaa vile sijui namuonaje.
Unamuona kama anaimba "Twende Nairobi" au "Kei Nairobi" wa Mbilia Bel?
 
Kuna wanawake wanapenda kushona sare na waume zao, za kitenge na kanga, fika Kigoma mbona utafurahi[emoji23][emoji23]
Wapo wengi tu huwa nawaona ila mimi hapana jaman. Hata kuvaa sare tu sitaki sijui ndio ushamba [emoji23][emoji23]
 
Uzi ushavamiwa huu. Unapoteza maana.

Binafsi nilipeleka kitambaa Cha suti miezi mitatu kabla ya tukio Ila kila nkienda napigwa tarehe mbele. mara ya mwisho nafika fundi simuoni wapo wasaidizi nguo hawajaanza kushona. nikawaambia nipeni kitambaa wanasema hawajui kilipo hapo nmefura vibaya sana tukio kesho kutwa na nguo ya maana Sina zaidi ni jeans tu ndo zipo ndani.
Katika harakati za kutafuta kitambaa mke ndani kwenye maboksi Moja wapo nikamkuta fundi mkuu kumbe waliniona akaingia kwenye boksi Moja kubwa wakaweka vitambaa juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nilimsimamia fala yule kuanzia saa 9 alasiri kufika saa 11 alfajiri suti imeisha.

ITOSHE KUSEMA HAKUNA WATU WAONGO KAMA MAFUNDI WA KUSHONA NGUO HASA WALE MAARUFU.
😂😂😂😂
 
Yule fundi hata kupokea nguo hakuipokea, nilitaka apunguze ukubwa wa kigauni changu kiweze kunitosha vizuri akanijibu yeye huwa hashoni viraka. Sinaga hamu na yule baba.
Duuh alikuwa anakutaka nini[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Uzi ushavamiwa huu. Unapoteza maana.

Binafsi nilipeleka kitambaa Cha suti miezi mitatu kabla ya tukio Ila kila nkienda napigwa tarehe mbele. mara ya mwisho nafika fundi simuoni wapo wasaidizi nguo hawajaanza kushona. nikawaambia nipeni kitambaa wanasema hawajui kilipo hapo nmefura vibaya sana tukio kesho kutwa na nguo ya maana Sina zaidi ni jeans tu ndo zipo ndani.
Katika harakati za kutafuta kitambaa mke ndani kwenye maboksi Moja wapo nikamkuta fundi mkuu kumbe waliniona akaingia kwenye boksi Moja kubwa wakaweka vitambaa juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nilimsimamia fala yule kuanzia saa 9 alasiri kufika saa 11 alfajiri suti imeisha.

ITOSHE KUSEMA HAKUNA WATU WAONGO KAMA MAFUNDI WA KUSHONA NGUO HASA WALE MAARUFU.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aisee sikutegemea kama uzi utanichekesha hivii
 
Duuh alikuwa anakutaka nini[emoji28][emoji28][emoji28]
Hamna. Yule mzee ndio alivyo nyodo kama zote. Siku ile nilidhani labda yupo na mood mbaya lkn nikaja nikasikia kwa watu wengine ndio tabia yake hataki uende kufanya marekebisho yoyote ya nguo anaita viraka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom