Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo bila kukukatalia ungeshona?Ulinikatalia kushona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sipendi kushona kitenge lkn ungenilazimisha ningefanya kukufurahisha tu😂Kwa hiyo bila kukukatalia ungeshona?
Khaa! Sipendi mwanaume avae kitenge sijui naonaje [emoji21][emoji21][emoji21] au manguo kama yale wanavaa wanaume wa kinigeria kama magauni haki tena mtu akivaa vile sijui namuonaje.Sipendi kushona kitenge lkn ungenilazimisha ningefanya kukufurahisha tu[emoji23]
Kuna wanawake wanapenda kushona sare na waume zao, za kitenge na kanga, fika Kigoma mbona utafurahi😂😂Khaa! Sipendi mwanaume avae kitenge sijui naonaje [emoji21][emoji21][emoji21] au manguo kama yale wanavaa wanaume wa kinigeria kama magauni haki tena mtu akivaa vile sijui namuonaje.
Anakuwa amefanana na Mbilia Bel!Kumbe unavaa mashati ya vitenge!ndio maana.
Unamuona kama anaimba "Twende Nairobi" au "Kei Nairobi" wa Mbilia Bel?Khaa! Sipendi mwanaume avae kitenge sijui naonaje [emoji21][emoji21][emoji21] au manguo kama yale wanavaa wanaume wa kinigeria kama magauni haki tena mtu akivaa vile sijui namuonaje.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamuona kama anaimba "Twende Nairobi" au "Kei Nairobi" wa Mbilia Bel?
Wapo wengi tu huwa nawaona ila mimi hapana jaman. Hata kuvaa sare tu sitaki sijui ndio ushamba [emoji23][emoji23]Kuna wanawake wanapenda kushona sare na waume zao, za kitenge na kanga, fika Kigoma mbona utafurahi[emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Uzi ushavamiwa huu. Unapoteza maana.
Binafsi nilipeleka kitambaa Cha suti miezi mitatu kabla ya tukio Ila kila nkienda napigwa tarehe mbele. mara ya mwisho nafika fundi simuoni wapo wasaidizi nguo hawajaanza kushona. nikawaambia nipeni kitambaa wanasema hawajui kilipo hapo nmefura vibaya sana tukio kesho kutwa na nguo ya maana Sina zaidi ni jeans tu ndo zipo ndani.
Katika harakati za kutafuta kitambaa mke ndani kwenye maboksi Moja wapo nikamkuta fundi mkuu kumbe waliniona akaingia kwenye boksi Moja kubwa wakaweka vitambaa juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nilimsimamia fala yule kuanzia saa 9 alasiri kufika saa 11 alfajiri suti imeisha.
ITOSHE KUSEMA HAKUNA WATU WAONGO KAMA MAFUNDI WA KUSHONA NGUO HASA WALE MAARUFU.
Duuh alikuwa anakutaka nini[emoji28][emoji28][emoji28]Yule fundi hata kupokea nguo hakuipokea, nilitaka apunguze ukubwa wa kigauni changu kiweze kunitosha vizuri akanijibu yeye huwa hashoni viraka. Sinaga hamu na yule baba.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aisee sikutegemea kama uzi utanichekesha hiviiUzi ushavamiwa huu. Unapoteza maana.
Binafsi nilipeleka kitambaa Cha suti miezi mitatu kabla ya tukio Ila kila nkienda napigwa tarehe mbele. mara ya mwisho nafika fundi simuoni wapo wasaidizi nguo hawajaanza kushona. nikawaambia nipeni kitambaa wanasema hawajui kilipo hapo nmefura vibaya sana tukio kesho kutwa na nguo ya maana Sina zaidi ni jeans tu ndo zipo ndani.
Katika harakati za kutafuta kitambaa mke ndani kwenye maboksi Moja wapo nikamkuta fundi mkuu kumbe waliniona akaingia kwenye boksi Moja kubwa wakaweka vitambaa juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nilimsimamia fala yule kuanzia saa 9 alasiri kufika saa 11 alfajiri suti imeisha.
ITOSHE KUSEMA HAKUNA WATU WAONGO KAMA MAFUNDI WA KUSHONA NGUO HASA WALE MAARUFU.
mamaaa....😬Niliwahi pata mbaba
😂😂😂mamaaa....😬
Hamna. Yule mzee ndio alivyo nyodo kama zote. Siku ile nilidhani labda yupo na mood mbaya lkn nikaja nikasikia kwa watu wengine ndio tabia yake hataki uende kufanya marekebisho yoyote ya nguo anaita viraka [emoji23][emoji23][emoji23]Duuh alikuwa anakutaka nini[emoji28][emoji28][emoji28]
na wewe hupendi kuvaa vitambaa??Sipendi mwanaume avae kitenge sijui naonaje
Navaa japo sio mpenzi sana ila sasa mbaba akivaa kitenge sijui naonaje [emoji21]na wewe hupendi kuvaa vitambaa??
wewe sio shangazi😂 hamna tena ubishiNavaa japo sio mpenzi sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani hujawah ona mashangazi ambao hawavai matenge jamani??wewe sio shangazi[emoji23] hamna tena ubishi
sasa nikuone unanivimbia tena
hakuna, ni vitenge na linen😂 wewe pisi kabisaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani hujawah ona mashangazi ambao hawavai matenge jamani??