Jambo gani ulishalifanya likakupa aibu ambayo hautaisahau?

Jambo gani ulishalifanya likakupa aibu ambayo hautaisahau?

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Ladies & Gentlement habari za usiku!!!!!!!

Jamani mie kuna mambo nishayafanya yani aibu zake siwezi kusahau!!!
Miaka ya juzi kati hapa ndo nimejiunga na chuo,jumamosi moja nikaingia zangu mtaani hospitali, nikakutana na mdada mmoja tumekaa kwenye foleni akaona file langu limeandikwa jina la chuo...akaniuliza kumbe unasoma chuo flani?

Mdada wa first year mi ndo mimi nikajibu kwa pozi ndio, unasoma kozi gani? kwa manjonjo zaidi nikadanganya nasoma Bcom marketing mi nimemuona wa kawaida nkajua wa kitaa tu.....

Jumatatu hiyoo nimekaa zangu nasubiri pindi mdada niliekutana nae hospitali huyu hapa akanisalimia kuonesha ananikumbuka tunasoma wote faculty moja Education yani nilihisi aibu isoelezeka nikatamani nipite chini ya viti niishie zangu, siku zote nilizokuwa chuo nilikuwa nakosa amani nikikutana nae nikikumbuka nilivojishaua nasoma Bcom kumbe Education!!!!

Haijaishia hapo.....ila niambie kwanza aibu yako na wewe!!!!!!!
 
Hahaaaa aisee lol
Mi nililala church siku ya jumatano ya majivu pale St. Joseph tukiwa tunangoja misa ianze coz niliwahi sana nikawa naota...nkaota naanguka lol nilikurupuka kwa speed balaa yan full aibu uzuri nilikuwa nimepakana ma wazee so walijua nimechoka tu.
Baada ya hapo sikulala tena na huwa silali church
 
Hahaaaa aisee lol
Mi nililala church siku ya jumatano ya majivu pale St. Joseph tukiwa tunangoja misa ianze coz niliwahi sana nikawa naota...nkaota naanguka lol nilikurupuka kwa speed balaa yan full aibu uzuri nilikuwa nimepakana ma wazee so walijua nimechoka tu.
Baada ya hapo sikulala tena na huwa silali church

mmh kweli nawe ulijipa aibu....
kulala kanisani hadi unaota teh! bora hata mimi...
 
Hahaaaa aisee lol
Mi nililala church siku ya jumatano ya majivu pale St. Joseph tukiwa tunangoja misa ianze coz niliwahi sana nikawa naota...nkaota naanguka lol nilikurupuka kwa speed balaa yan full aibu uzuri nilikuwa nimepakana ma wazee so walijua nimechoka tu.
Baada ya hapo sikulala tena na huwa silali church

Mecheka hadi machozi!!!"! :becky:
 
Hahaaaa aisee lol
Mi nililala church siku ya jumatano ya majivu pale St. Joseph tukiwa tunangoja misa ianze coz niliwahi sana nikawa naota...nkaota naanguka lol nilikurupuka kwa speed balaa yan full aibu uzuri nilikuwa nimepakana ma wazee so walijua nimechoka tu.
Baada ya hapo sikulala tena na huwa silali church

hahahaha, mr bean! Yaani nimeangua kicheko, hadi Paw kaona wivu uwiii. Akinifukuza nakuja kulala kwako, usifunge mlango.
 
Hahaaaa aisee lol
Mi nililala church siku ya jumatano ya majivu pale St. Joseph tukiwa
tunangoja misa ianze coz niliwahi sana nikawa naota...nkaota naanguka
lol nilikurupuka kwa speed balaa yan full aibu uzuri nilikuwa nimepakana
ma wazee so walijua nimechoka tu.
Baada ya hapo sikulala tena na huwa silali church

da nimecheeeeeeeeka sana
 
hahahaha, mr bean! Yaani nimeangua kicheko, hadi Paw kaona wivu uwiii. Akinifukuza nakuja kulala kwako, usifunge mlango.
Haahahaaaa akikufukuza nenda Bilikanaz leo ni ladies free hahahaaa kwangu najishaua leo Amyner wangu yupo
 
Last edited by a moderator:
Mi kuna siku bwana nimebaki ndani ya gari ya mtu, akashuka kuchukua chipsi funga. Nikamuambia nnataka kubreak ze wind mi nabaki garini. Full kipupwe, afu tinted ya maana. Tukawa tumeblock gari, nikawaona jamaa wanahangaika nikahamia kwa driver ili nilisogeze. Jamaa wakanigongea kioo kwa abiria nikashusha kioo. Dah, harufu ya ze wind hapo na kumbe ni mshkaji namjua. Yaani hatujawahi kuiongelea hiyo embarrassment manake dah! Im sure mshkaji aliskia harufu yaani. Na sijui why sikushusha kioo kwanza harufu ikatoka. Mtu akinitania about this ntaua aisee.
 
Maureen ! Cjawai mfanyia kitu cha kunifanyia nijisikie aibu brother Erickb52 mie life langu nalipeleka ki nidhamu kwasababu naishi katika neno, na hua napenda sana kusoma Mithari na ndio inanijenga na mie ni msafi kama pesa mpya
manoah manoah ooooh
Hivi kweli huna tukio?
Hata la Moureen?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom