Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ladies & Gentlement habari za usiku!!!!!!!
Jamani mie kuna mambo nishayafanya yani aibu zake siwezi kusahau!!!
Miaka ya juzi kati hapa ndo nimejiunga na chuo,jumamosi moja nikaingia zangu mtaani hospitali, nikakutana na mdada mmoja tumekaa kwenye foleni akaona file langu limeandikwa jina la chuo...akaniuliza kumbe unasoma chuo flani?
Mdada wa first year mi ndo mimi nikajibu kwa pozi ndio, unasoma kozi gani? kwa manjonjo zaidi nikadanganya nasoma Bcom marketing mi nimemuona wa kawaida nkajua wa kitaa tu.....
Jumatatu hiyoo nimekaa zangu nasubiri pindi mdada niliekutana nae hospitali huyu hapa akanisalimia kuonesha ananikumbuka tunasoma wote faculty moja Education yani nilihisi aibu isoelezeka nikatamani nipite chini ya viti niishie zangu, siku zote nilizokuwa chuo nilikuwa nakosa amani nikikutana nae nikikumbuka nilivojishaua nasoma Bcom kumbe Education!!!!
Haijaishia hapo.....ila niambie kwanza aibu yako na wewe!!!!!!!
Jamani mie kuna mambo nishayafanya yani aibu zake siwezi kusahau!!!
Miaka ya juzi kati hapa ndo nimejiunga na chuo,jumamosi moja nikaingia zangu mtaani hospitali, nikakutana na mdada mmoja tumekaa kwenye foleni akaona file langu limeandikwa jina la chuo...akaniuliza kumbe unasoma chuo flani?
Mdada wa first year mi ndo mimi nikajibu kwa pozi ndio, unasoma kozi gani? kwa manjonjo zaidi nikadanganya nasoma Bcom marketing mi nimemuona wa kawaida nkajua wa kitaa tu.....
Jumatatu hiyoo nimekaa zangu nasubiri pindi mdada niliekutana nae hospitali huyu hapa akanisalimia kuonesha ananikumbuka tunasoma wote faculty moja Education yani nilihisi aibu isoelezeka nikatamani nipite chini ya viti niishie zangu, siku zote nilizokuwa chuo nilikuwa nakosa amani nikikutana nae nikikumbuka nilivojishaua nasoma Bcom kumbe Education!!!!
Haijaishia hapo.....ila niambie kwanza aibu yako na wewe!!!!!!!