Jambo gani ulishalifanya likakupa aibu ambayo hautaisahau?

Jambo gani ulishalifanya likakupa aibu ambayo hautaisahau?

Hahaaaa aisee lol
Mi nililala church siku ya jumatano ya majivu pale St. Joseph tukiwa tunangoja misa ianze coz niliwahi sana nikawa naota...nkaota naanguka lol nilikurupuka kwa speed balaa yan full aibu uzuri nilikuwa nimepakana ma wazee so walijua nimechoka tu.
Baada ya hapo sikulala tena na huwa silali church
 
Back
Top Bottom