Jambo hili kinaweza kutokea Tanzania tu dunia mzima: Unatenga fedha kwaajili ya sherehe kisha siku ikifika unawatangazia umma fedha zinakwenda kwenye

Jambo hili kinaweza kutokea Tanzania tu dunia mzima: Unatenga fedha kwaajili ya sherehe kisha siku ikifika unawatangazia umma fedha zinakwenda kwenye

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Huu ndio ukweli mchungu, ni kwamba aidha viongozi wetu(watawala) wanatuona sisi wananchi hatuna upeo wa kufikiri au viongozi wetu wana upeo mdogo wa kufikiri.

Wao ndio hupitisha bajeti za sherehe hizo kisha baadaye haohao hutengua bajeti na kuzipeleka fedha kwenye miradi ya maendeleo.
Hii tabia aliianzisha Magufuli, awali tulimuunga mkono maana ile bajeti aliyoipindua na kuamuru ijenge barabara ya Morocco-Mwenge haikupita mikononi mwake. Lakini baadaye tuliendelea kumwona akivunja bajeti za sherehe zilizopangwa yeye akiwa Rais na kuamuru fedha zikafanye jambo jingine.

Mfano: Sherehe ya Uhuru 2020 aliiahirisha na kuamuru fedha zikajenge Hospitali Dodoma.

Kwani wizara ya Afya katika bajeti zake hawakuliona hili?

Rais anageuka mungu mtu halafu Watanzania wanashangilia.

Maendeleo bila mkakati?

Hapa tunajifunza kuwa viongozi wetu wana udhaifu au wanatumia udhaifu wa wananchi kujiimarisha kisiasa(kuchukua ujiko).
 
Huu ndio ukweli mchungu, ni kwamba aidha viongozi wetu(watawala) wanatuona sisi wananchi hatuna upeo wa kufikiri au viongozi wetu wana upeo mdogo wa kufikiri.
Wao ndio hupitisha bajeti za sherehe hizo kisha baadaye haohao hutengua bajeti na kuzipeleka fedha kwenye miradi ya maendeleo.
Hii tabia aliianzisha Magufuli, awali tulimuunga mkono maana ile bajeti aliyoipindua na kuamuru ijenge barabara ya Morocco-Mwenge haikupita mikononi mwake. Lakini baadaye tuliendelea kumwona akivunja bajeti za sherehe zilizopangwa yeye akiwa Rais na kuamuru fedha zikafanye jambo jingine.
Mfano: Sherehe ya Uhuru 2020 aliiahirisha na kuamuru fedha zikajenge Hospitali Dodoma.
Kwani wizara ya Afya katika bajeti zake hawakuliona hili?
Rais anageuka mungu mtu halafu Watanzania wanashangilia.
Maendeleo bila mkakati?.
Hapa tunajifunza kuwa viongozi wetu wana udhaifu au wanatumia udhaifu wa wananchi kujiimarisha kisiasa(kuchukua ujiko).
GADDAFI
MUSEVEN
SADDAM
HITLER
MUGABE
IDRIS DEBY
wote walikuwa na tabia hiyo.
 
Nyie watu wa bata bata naungana nao asilimia 1000000,watoto wakae chini wajawazito wafe mchome billion mbili kwa tukio LA SAA 2 ambalo .........hamnaga hiyo..mama kamatia hapohapo..
 
Yaani mle bata ila watoto wakae chini shuleni?
hebu kuweni na huruma basi
 
Yaani mle bata ila watoto wakae chini shuleni?
hebu kuweni na huruma basi
Lini wameanza kukaa chini?
Kwanini Bungeni wasipeleke bajeti ya dharura kutatua suala hilo kama wanaitakia mema nchi?.
Sio serikali hiyohiyo ya CCM iliyonunua wapinzani kwa gharama kubwa?
Samia Suluhu akiwa Makamu Rais aliwahi kukemea huo upumbavu?
 
Back
Top Bottom