Jambo hili linawezekanaje?

Jambo hili linawezekanaje?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Jamiicheck hebu nithibitishieni kama gazeti hili lipo kweli kabla sijalishambulia

Screenshot_2025-03-06-17-36-59-1.png
 
Sasa hapa ndo tunapima uelewa wa watu!, hizo mi nafikiri ni statement mbili tofauti na kuzielewa mpk usome maelezo mwandisho aliyoandika ndani.
 
Sasa hapa ndo tunapima uelewa wa watu!, hizo mi nafikiri ni statement mbili tofauti na kuzielewa mpk usome maelezo mwandisho aliyoandika ndani.
Tuwekee ya ndani mkuu
 
Labda alimaanisha wanyama walipelekeana moto sana baada ya tour!
 
Tunaposema Rushwa hupofusha macho, ndo kama hivi sasa

Na tunaposema mtu kuwa ccm ni kujitakia laana, watu muelewe

Anayebisha hiyo siyo laana ya maji ya kijani ccm nani?

Ujinga kuwa ukoga!
 
Back
Top Bottom