Jambo hili ni Udhibitisho tosha kabisa Taifa Stars bado haipo Tayari Kushindana AFCON

....haters wanna hate ballers wanna ball, it feels good say it again..
This is our turn for real no doubt and the players are making us feel so right as we move to Egypt....
..Feelin on that....
 
Mkuu,umeelewa ulivyotaka wewe lakini sio kwa mtizamo waliokuja na hiyo kauli mbiu, labda ni upungufu wa ujazo wa kiswahili umepelekea hilo lakini ktk lugha ya Kiingereza kauli mbiu hiyo ingesomeka "Its Our Time" (to qualify for AFCON).Kwahiyo elewa hivyo sio hivyo unavyoelewa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania inabidi tufanye sensa..wahamiaji wamezidi..kuna nchi kibao wameshindwa kufuzu Na mpira wanaupiga mwingi...
 
Nauliza tu, hivi hawa wasanii wa Bongo Movie wanamchango gani kwenye kamati ya kuhamasisha Taifa Stars?
 
Nauliza tu, hivi hawa wasanii wa Bongo Movie wanamchango gani kwenye kamati ya kuhamasisha Taifa Stars?
Wee ulitaka watoe mchango gani??ulitaka Wema amfundishe Bocco jinsi ya kuji position uwanjani??Bila shaka jibu ni hapana,hao wametumika kuleta hamasa ya kuishangilia Taifa Stars miongoni mwa mashabiki wao na bila shaka umejionea mwenyewe hamshahamsha la juzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…