Jambo hili nililofanya linaweza kunisababishia maambukizi ya HIV?

Jambo hili nililofanya linaweza kunisababishia maambukizi ya HIV?

Papuchi hii ya vidole vitatu ni hatare mnooo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzeya karibu kwenye grid ya taifa
... Usimtishe Mkuu, uwezekano wa kupata maambukizi kwa 7bu 2 alizozieleza ni mdogo sana. Maambukizi ya VVU hutokea kama kuna contact kati ya majamaji/damu kutoka kwa mtu aliyeasirika na jeraha la mtu mwingine... Hii ni kwa mjibu wa elimu yangu ndogo tu "Elimu dhidi ya VVU/ UKIMWI" darasa la 7...
 
Kaka wahi dozi Kaka
Daaah tunapoteza nguvu kazi ya taifa bure
 
Kwa uoga huu huwezi kupewa ****,watu tumevuruga sana lakin hatuwazii ngoma
 
Back
Top Bottom