Jambo hili nililofanya linaweza kunisababishia maambukizi ya HIV?

Kama umemchubua na ww umechubuka UMEPATA ila kama hamna michubuko mnaweza kuwa haujapata.
 
Ref. Miss Zainab from Lagos, Nigeria to Warere Beach Resort.
 
Dawa utachukulia Temeke pale dogo, huku Mnazi mmoja ishakuwa jau sikuhizi😂
 
Hili tukio lilifanyika lini?

Ni kama ni ndani ya masaa 72 basi meza PEP utapona
 
Usikute wewe ni yule kijana wa zainab
 
Acha uoga ukimw wa sasa hauambukiz ukimw kuanzia 2009 kushuka chin kabla ya watu kutumia dawa kwa sasa dawa ni lazima ukitumia dawa uwez kuambukiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…