Jambo la aibu lililonitokea usiku wa jana wakati nafanya tendo la ndoa na mke wangu

Mwenye hilo tatizo atafute mkia wa kondoo aukaange utoe mafuta yake, hayo mafuta awe anachanganya na asali mbichi pamoja na tangawizi na vitunguu swaumu kisha awe anapiga dozi hiyo asubuhi na jioni kwa wiki mbili ataanza kusimamisha usiku usingizini na anaweza kulejesha ujana wake. Ila nyeto aache kabisa na kwa kiasi flani afanye mazoezi.

Pia kwa wakati huu anaweza kua akikaribia kufika kileleni anamalizia nje kisha anaendelea maana wakati mwingine manii ndani ya u... huchangia kulegeza uum. Anaweza kupiga hata raundi nne kwa stairi hiyo
 
maelezo mengiiiii!
nyooosha tu paaap!
MI SISIMAMISHI!
 
Inaonekana huyo mwanamke(wife) anaridhishwa na mtu mwingine , maana mmejiandaa kucheza mech halaf MOVIE ndio iwachanganye. Halaf hukua nyumbn kwa mda kidogo HAPO ANARIDHISHIWA MKE, NA INAONEKANA PIA (WIFE) AMESHAJUA TATIZO LA MME WAKE ILA ANASUBIRI MME WAKE AWE MUWAZI .. HAPA NAAMIN HILI KWELI TATIZO LA HII NCHI NA SOURCE YAKE NI PUNYETO ..
 


Hahah!, si ni mpaka ukalime tembele! [emoji28] [emoji23] [emoji23]

International upo sana tu, ila najua zako ni kimya kimya..[emoji1]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah!, si ni mpaka ukalime tembele! [emoji28] [emoji23] [emoji23]

International upo sana tu, ila najua zako ni kimya kimya..[emoji1]


Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tu nikae huku namtumbo, na msinipe taarifa za yanayoendelea huko mjini ili haka kauzalendo kangu kadogo kalikobakia kaendelee kwenye matembele tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…