Jambo la CCM linateka attention ya nchi yote kuwa upinzani ni kupoteza muda na malengo

Jambo la CCM linateka attention ya nchi yote kuwa upinzani ni kupoteza muda na malengo

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kama Kuna mtu unadhani uahitaji kuleta mabadiliko kwenye nchi hii Kwa kupitia uongozi wa kisiasa basi ufikirie kufanya hivyo kupitia CCM.

Mimi si muumuni sana wa vyama ila ni muumuni wa uwezo wa mtu hivyo ninaamini kwamba mtu akiwa na uwezo mkubwa, akapata jukwaa kubwa ni rahisi sana kutekeleza maono yake.

Ukijaribu kuhesabu rasilimali watu iliyoko upinzani na rasilimali watu iliyoko ccm utaona Kuna pengo kubwa sana la waziwazi. Halafu hawa walioko upinzani ni wajanja wajanja tu.

Kila mtu aliyeko ccm mwenye chembe chembe za upinzani, basi aidha alishajeruhiwa na viongozi wa upinzani au akienda upinzani atakwaruzana na hao wamiliki wa upinzan.

Tumaini pekee lingebaki kwenye kizazi kipya, lakini Kwa mtazamo wa haraka haraka hata kizazi kipya hakivutiwi sana na siasa za upinzani.

Na hii ndiyo sababu kwenye mkutano wa CCM unaondelea huko Dodoma umekusanya makundi yote ya watu wenye ushawishi mkubwa katika nchi yetu.

No wonder Kila media inaripoti mkutano wa ccm stori zote zinaandika kuhusu ccm.
 
Chama cha Mambuzi hakina uwezo wa kuwa na jambo la kuteka nchi nzima,labda kikuteke wewe pamoja na mkeo🐒🐒🐒
 
Hao wazito waliohudhuria hicho kikao cha CCM wengi wao wamefanya hivyo kwasababu ya hofu, kwani tumeshaona wafanyabiashara wengi wakishughulikiwa kwasababu ya kuwaunga mkono wapinzani, na sababu nyingine iliyowafanya kwenda huko ni kusaka fursa, ikiwemo kupata channel za kukwepa kodi.
 
Nani afuatilie chama Cha mambuzi?. Labda mbuzi pekee yao.
 
Hao wazito waliohudhuria hicho kikao cha CCM wengi wao wamefanya hivyo kwasababu ya hofu, kwani tumeshaona wafanyabiashara wengi wakishughulikiwa kwasababu ya kuwaunga mkono wapinzani, na sababu nyingine iliyowafanya kwenda huko ni kusaka fursa, ikiwemo kupata channel za kukwepa kodi.
Lengo kuu la kuingia kwenye siasa ni kushika nguvu za utafutaji hii ni Kwa mwanasiasa wa chama chochote duniani kwa hiyo hiyo dhana sio dhambi
 
Chama cha Mambuzi kama mnaona upinzani ni kupoteza muda kwanini msiufyekelee mbali?
Upinzani unakila dalili ya kujifyekelea mbali wenyewe wala hauhitaji mtu aufute. Maana wanaendekeza migogoro na mauzauza yanayoibuka Kila siku badala ya kujenga vyama kistaarabu.
 
Back
Top Bottom