Jambo la uchawi ni serious kabisa Rukwa/Katavi

Jambo la uchawi ni serious kabisa Rukwa/Katavi

Mkuu keisangora hiyo menu ya kushikwa shikwa huku kwetu haipo.
Wanakushika wapi na kwa muda gani?
Huku kwetu Kuna massage Ila Bei ni 50k na kuendelea kwa saa.
Massage kwa lisaa nadhani sitokuwa nimeinjoi angalau two hours na pia iwe na happy ending hapo natoa hela Wala sijivungi
 
Habari zenu,

Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.

Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.

Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.

Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.

Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.

Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.

Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.

Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
Naskia Mtaa wa Simba ehehee kuna Usheitani laivu laivu!
 
Habari zenu,

Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.

Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.

Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.

Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.

Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.

Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.

Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.

Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
kuishi huko nisawa na kuzimu... muokoke tyu...... na Rais hutamwona huko ng'oo
 
Hakuna lolote, mnaendekeza mambo ambayo hayana ushahidi wowote.
 
Habari zenu,

Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.

Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.

Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.

Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.

Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.

Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.

Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.

Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
Kutishana
 
Naskia Mtaa wa Simba ehehee kuna Usheitani laivu laivu!
Kawaida Ila ndio Kuna zile saluni unakandwa mwili na wadada.
Sema Kuna wadada wazuri wazuri wanaofanya kazi sehemu mbalimbali like maduka ya nguo,saluni,bar,hotel n.k Kuna mmoja nilimwambia nahitaji private akaniambia 70k ukiwa ofisini Ni 50k
 
Huyo aliyekuwa anatamba na mke wa mtu kapata alichokitafuta uzuri mwenye mke alikuwa muungwana kumpa notice za awali.

Haya wakapendane kuzimu huko.
Kwa kawaida wafipa hawarushi kombora bila kukuonya
 
Nadhani Tabora mjini inaweza kuongoza, sijui Kama hawa watu kwenye sensa huwa wanahesabiwa, Ila Tabora wamezidi
Nipo Urambo hapa napo sio poa, ukipewa stori zake na wenyeji unaweza kimbia siku hiyo hiyo.
Kuhusu vichaa nako ni wengi aseee
 
Imeandikwa usitamani mwanamke asiye mke wako.

Usitamani mali ya mtu mwingine.


Ukizishika hizo amri utaishi kwa amani sana.
 
Kikawaida mara nyingi sana wachawi huwa wanawake..

Kwa wafipa ni tofauti. Wachawi wengi ni wanaume na wana wivu balaa.. Ukileta shobo Kwa wake na mademu zao wanakunyoosha asubuhi tu.
 
Nipo nsemlwa hapa kwa mkumbo karibia na transfoma mkuu ama unataka Hadi nimepanga kwa nani
Screenshot_20220620-201447.png
 
Mtu anayeamini uwepo wa ushirikina karne hii ni zwazwa.
 
Mke wa mtu ni sumu msiwe mnakula wake za watu wazee, bora parangana uwe na wako, imagine mkeo ndiyo analiwa
 
Back
Top Bottom