Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
FafanuaMambo mengine mnayakuza tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaMambo mengine mnayakuza tu!
Kama m2 anatembea na mke wa m2 si vibaya kupigwa kipapai!
Acha maovu na uchawi hautakufuata.
Na nyie Acheni kula wake za watuHabari zenu,
Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.
Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.
Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.
Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.
Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.
Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.
Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.
Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
Kuna uhusiano gani kati ya kutembea na mke wa mtu na kufa? Kuna uhusiano gani kati ya vichaa na uchawi? Ni mkoa gani ambao hauna wachawi?Fafanua
Na ulivosema huku wamejua Ngj wakuroge! [emoji16]Habari zenu,
Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.
Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.
Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.
Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.
Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.
Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.
Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.
Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
Nguswe mimiMi kapalamsenga karibu mkuu,uchawi upo
Mpanda niliishi Mji wa zamani, Kakese na Katisunga mambo ya wizard sio kivile. Lindi ndo mwisho wa matatizo hasa jimbo la Luangwa sehemi inaitwa Nangungu Kiboko ya MZ alionyeshwa Advatise jeuri yote "sweeee"