Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
- Thread starter
-
- #21
Massage kwa lisaa nadhani sitokuwa nimeinjoi angalau two hours na pia iwe na happy ending hapo natoa hela Wala sijivungiMkuu keisangora hiyo menu ya kushikwa shikwa huku kwetu haipo.
Wanakushika wapi na kwa muda gani?
Huku kwetu Kuna massage Ila Bei ni 50k na kuendelea kwa saa.
Na wewe pia usidhani hakuoni mamii,hata ukiwa gizanikeisangora Deceiver Mungu anawaona...
Naskia Mtaa wa Simba ehehee kuna Usheitani laivu laivu!Habari zenu,
Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.
Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.
Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.
Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.
Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.
Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.
Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.
Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
kuishi huko nisawa na kuzimu... muokoke tyu...... na Rais hutamwona huko ng'ooHabari zenu,
Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.
Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.
Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.
Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.
Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.
Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.
Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.
Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
KutishanaHabari zenu,
Tokea mwaka huu uanze Niko katavi ni mji ambao ni manispaa, yaani kila mji una sifa zake.
Yaani mpanda Ina vichaa wengi kuliko hata jiji la Mwanza jamani.
Wenyeji wa huku acheni hizi Mambo.
Yaani inasikitisha mno kila Kona ama kila mtaa lazima uwe na kichwa ujue.
Kuna jamaa hapa amekufa Naona alikuwa anatembea na mke wa mtu yaani anapiga picha wakiwa pamoja anatumiwa mwenye mke.
Alifuatwa Mara tatu kuwa muache mke wangu anajifagilia kuwa kampenda mwenyewe.
Nsemlwa kwa mkumbo, Nyerere, kwalakwacha, kaushalili, buzogwe, mkoani, kinyonto, kapufi street, makanyigio, misunkumelo.
Yaani kila mji una sifa zake Ila hili la kutesa binadamu wenzenu sio poa kabisa.
Reffer to the first post.Mademu huko vipi
Kawaida Ila ndio Kuna zile saluni unakandwa mwili na wadada.Naskia Mtaa wa Simba ehehee kuna Usheitani laivu laivu!
Kwamba hamna free pair kila mmoja kawekewa ulimbo wa kiuchawi ?Reffer to the first post.
Wapo shega lakini kila kiatu kina mvaaji wake.
Gusa unase
Kwa kawaida wafipa hawarushi kombora bila kukuonyaHuyo aliyekuwa anatamba na mke wa mtu kapata alichokitafuta uzuri mwenye mke alikuwa muungwana kumpa notice za awali.
Haya wakapendane kuzimu huko.
Nadhani Tabora mjini inaweza kuongoza, sijui Kama hawa watu kwenye sensa huwa wanahesabiwa, Ila Tabora wamezidiKuhusu machizi hata Kigoma UJIJI ni balaa, wamejaa sana
Nipo Urambo hapa napo sio poa, ukipewa stori zake na wenyeji unaweza kimbia siku hiyo hiyo.Nadhani Tabora mjini inaweza kuongoza, sijui Kama hawa watu kwenye sensa huwa wanahesabiwa, Ila Tabora wamezidi
Nipo nsemlwa hapa kwa mkumbo karibia na transfoma mkuu ama unataka Hadi nimepanga kwa nani