Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Mkuu DC nadhani huyo 'jamaa' yuko morally wrong na amekumislead kabisa! maana hapa tunaanza kuingia kwenye issue za kwamba kwa nini watu wana have sex in the first place, kama sio kwa ajili ya recreation,?
Mkuu una hakika na hayo unayoyasema? Mbona juzi hapa walishakubaliana kuwa infidelity is here to stay?
nadhani kwa mtu mwenye kuwa na maadili hawezi kutegemewa akatae mtoto ambaye ana uhakika ni wa kwake....wanaokataa hivyo ni kwa sababu nyingine za kimaisha tu na ndio maana baadaye hurudi 'kuwatafuta' hao watoto waliowakataa in the first place!
Unawezaje kuongelea maadili wakati jamaa alikubali kuzaa na mke wa mtu? Unadhani kuna wema wa wowote aliotenda katika issue hii zaidi ya kufanya uzinzi na ex GF wake? Mkuu bado sikubaliani na wewe. Jamaa akatafute mahali pengine pa kulelea mtoto wake badala ya kumsumbua mke wake!!