Jambo Usilolijua: Nyerere alipokea Taifa la namna gani? Mpango wa Kwanza wa Maendeleo 1961


Mkuu by the time mwalimu anaondoka madarakani literacy rate in Tanzania ilikuwa one of the highest in Africa, nadhani ya kwanza au ya pili.
 

Ushahidi - Wikipedia!!!!!!!!! Serious?????????
 
Ni sheria gani Nyerere alizivunja nipe mfano mmoja tu kuwa "kulikuwa na Sheria hii, na Nyerere aliivunja hivi au vile.

Human Rights.

Source Encylopedia- In the 70s, Nyerere's reign became more oppressive, and the move to collective settlements, or villages, was enforced. By the end of the 70s there were over 2,500 of these 'villages'.
 
Ni kazi na U tamuona nyerere ni dikteta na kila aina ya makosa kama ukijudge mambo na maamuzi mazuri na sahii aliyoaanya mwaka mwaka 11970 wakati mtu akili yake ikiwa 2010.

Hivi watu wanajua single Big employer wa UK taifa la kibepari ni BAE. Hii BAE iliyotuuzia rada ni kampuni ya serikali. Mashirika kama British Telecom , British airways yalikuwa yanahodhiwa na serikali . Haya yoye yanapatiana google. Problem ni kwamba vyetu vili fail lakini Idea ilikuwa ni sahihi na vilishindwa si sababu ya nyerere bali tamaa za watu walipewa jukumu la kusimamia

Sasa inauwaje watu wanshangaa wazo la Nyerere Wa serikali kuwa mhimili wa uchumi

Mi nawashauri wanaomkosoa Nyerere warudishe akili zao miaka hiyo ndo wajenge hoja.
 
Ni sheria gani Nyerere alizivunja nipe mfano mmoja tu kuwa "kulikuwa na Sheria hii, na Nyerere aliivunja hivi au vile.
Kuna mahala niliandika hivi:

 
Mkuu by the time mwalimu anaondoka madarakani literacy rate in Tanzania ilikuwa one of the highest in Africa, nadhani ya kwanza au ya pili.

False claim. Toa Data in comparison, please.
 

Asante sana MMJ wazalendo wa jamii yako wako wapi? hii inanikumbusha wimbo mpya wa mwanamuziki wa kizazi kipya ROMA katika moja ya beti za wimbo wake inasema 'kiongozi mzalendo wa kweli aliondoka na uzalendo wa waliofuata?" hii inamaana hata kama JKN alikosea sehemu, haikuwa kwa dhamila yake yeye bali nikwa maumbile yakibinadamu tofauti na sasa ambapo makosa yote yanayofanyika nikwamakusudi au kwakupuuzia. Mwanakijiji anzisha darasa na mimi nitakuwa mwanafunzi wako wa kwanza!
 

Shamu, nina uhakika hujaisoma hii document na kama umeisoma hukuielewa au umeielewa lakini unaogopa tu kuiasi nadhiri yako ya chuki.
Unaposoma au kuhadithiwa jambo ukalielewa utaweza kulitetea, ukikariri hutaweza kueleza hata ulichohadithiwa ni nini.

Tunajadili mpango wa maendeleo kabla ya ujamaa 1967 na wiki ijayo tutafika huko, lakini usituondoe kwenye mada kwa kusema 'amefeli' ukiwa huna mahali unapotuonyesha katika document amefeli wapi.Kama kuna mahali panukuu.

Kama umesoma nyaraka yote utagundua kuwa hakuna kiongozi aliyewekeza kwenye elimu kama Nyerere. Kumbuka ameanza kazi akiwa hana hata makarani. Hakuna hata chuo na shule zilikuwa za kubahatisha.
Pamoja na hayo alikuwa na changamoto nyingi sana na bajeti kidogo sana.

Pg 16 paragraph 1
.........The first course of administrative training was opened in jan 1961 to provide 25 newly recruited Africans..........six month was inadequate........ officers's wife will also receive part time training.

Page 20 paragraph 1: .......site for research has been provided
.

Yaani watawala walipewa kozi ya miezi 6 halafu wake zao nao wakapewa part time, just to show you how dire was the situation.
Unaposema 'ellite' CCM walipewa elimu, you're not well informed or ill informed my dear friend. Unamjua mtu anaitwa Mustapha Songambele, basi hapo ndipo ungejua ndani ya TANU kulikuwa hakuna ellite bali watu wenye busara na uzalendo wao.

Akiondoka Nyerere ameacha wasomi katika maelfu, maprofesa ambao wengine hawakupata hata ajira. Soma nyaraka za literacy kama walivyoonyesha waungwana halafu ujiulize unasimamia hoja au basi bora hoja? Unaposema hakuwapa watu elimu sijui unataka nini !

Ukisema research tayari Nyerere alishatenga maeneo na hakuna kiongozi aliyefuata baada ambaye amejenga research institutes yoyote ile. Muhimu, je nchi zilizokuwa na ubepari ziliweza kujenga research institutes zao na zimefanikiwa kiasi gani hapa barani Afrika.

Unaposema neno 'fail' uwe tayari kutuonyesha na kutetea msimamo wako,tutakuheshimu kwasababu kuheshimu mawazo ya watu wengine ndio utamaduni wa JF, lakini ukisema ''fail' na huna hoja mhh !!! kasuku anaweza kufundishwa na kusema hivyo ingawa hawezi kutete kauli yake.
 
Primary school only. Vipi kuhusu higher education? compare higher education ya zamani na sasa hivi ili uone ukweli.

Wewe kweli umekamia ubishi hivi nilipokuwa naongelea literacy rate ulifikiri namaanisha nini? By the way do you understand the two critical measurements katika maendeleo ya elimu, Literacy and Numeracy rate? anywayz hebu basi tengeneza swali specific ili na mimi nikupe jibu specific!

Lakini for your information enzi za mwalimu kulikuwa hakuna shule ya serikali ambayo ilikuwa haina madawati, maabara au maktaba. Shule zilikuwa chache lakini bora. Mazengo enzi zile hakuna hata St. Mary's sijui Feza au St. Marian inaweza kufanana nayo so was Mkwawa, Iyunga, Minaki etc. Ukija kwenye vyuo vilikuwa ndiyo vichache lakini bora Dar Tech, TCA, UDSM, Korogwe Teachers College etc. Vyuo vya kilimo kama Uyole wakati ule facilities, mandhari yake na mazingira yake hakuna chuo chochote katika hivi vipya kinaweza kufanana nacho. Na above all wahitimu wote wa vyuo vyote hata sekondari walikuwa wanapata ajira.

Wanafunzi waliohitimu sekondari bila ujuzi walikuwa wanafundishwa specialties zao huko kwenye mashirika yao kulikuwa na chuo cha posta na simu, chuo cha bandari, chuo cha reli etc. Leo ukijiunga Vodacom au Airtel unafundishiwa wapi mambo ya kampuni???? Kwa kuona umuhimu wa hili ndiyo maana Migodi kama Geita na Barrick wamefanya joint venture kufungua chuo cha ufundi pale Moshi. Some more.....?

Madarasa ya elimu ya watu wazima yalikuwepo na yalikuwa active. Kuna watu walijua kusoma in their late 60's na hiyo ndiyo ili-drive literacy rate kufika to more than 90%. Sasa haya madarasa ya elimu ya watu wazima siku hizi yanaonekana kwenye bajeti na matumizi tu lakini physically hayapo.
 

Angalia hizi Statistic Data ili uone ukweli. Acha Ubishi study hizi data.

Report


EdStats - Country Profiles
 



Wakati wa Nyerere tulikuwa na Negative growth. Study hizi Statistic ili uone ukweli.




Although a small segment of Tanzanians with secure access to employment in the public and business sectors enjoy a relatively high standard of living, the vast majority of Tanzanians live in poverty. Indeed, the United Nations Development Programme 's (UNDP) human development index (HDI) listings, which arranges countries according to their overall level of human development, ranks Tanzania 156th out of a total of 174 nations. The HDI, a composite index (one that assesses more than one variable) that measures life expectancy at birth, adult literacy rate, school enrollment ratio, and GDP per capita , is indicative of a country's general social and economic well-being. As such, Tanzania's HDI ranking demonstrates that the country is one of the poorest and least developed in the world.
Under the socialist policies of Julius Nyerere, the Tanzanian government focused heavily on achieving social equity through the development of a strong health and education sector. Inequality in the early years of Ujamaa was mainly the result of the colonial legacy in which some peasants were connected to the cash crop export economy while others were not. Those that lived in areas favorable for cash crop production enjoyed a slightly higher standard of living than their subsistence peasant


[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="colspan: 6, align: left"]GDP per Capita (US$) [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Country [/TD]
[TD]1975 [/TD]
[TD]1980 [/TD]
[TD]1985 [/TD]
[TD]1990 [/TD]
[TD]1998 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tanzania[/TD]
[TD]N/A[/TD]
[TD]N/A[/TD]
[TD]N/A[/TD]
[TD]175[/TD]
[TD]173[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]United States[/TD]
[TD]19,364[/TD]
[TD]21,529[/TD]
[TD]23,200[/TD]
[TD]25,363[/TD]
[TD]29,683[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Dem. Rep. of Congo[/TD]
[TD]392[/TD]
[TD]313[/TD]
[TD]293[/TD]
[TD]247[/TD]
[TD]127[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kenya[/TD]
[TD]301[/TD]
[TD]337[/TD]
[TD]320[/TD]
[TD]355[/TD]
[TD]334[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 6, align: left"]SOURCE: United Nations. Human Development Report 2000; Trends in human development and per capita income. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: left"]Distribution of Income or Consumption by Percentage Share: Tanzania [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Lowest 10%[/TD]
[TD]2.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Lowest 20%[/TD]
[TD]6.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Second 20%[/TD]
[TD]11.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Third 20%[/TD]
[TD]15.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Fourth 20%[/TD]
[TD]21.6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Highest 20%[/TD]
[TD]45.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Highest 10%[/TD]
[TD]30.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: left"]Survey year: 1993[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: left"]Note: This information refers to expenditure shares by percentiles of the population and is ranked by per capita expenditure.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: left"]SOURCE: 2000 World Development Indicators [CD-ROM].[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


counterparts. Though Nyerere's social policies were generous, they were unsustainable in a context of economic crisis and negligible growth. Moreover, many critics, such as Enos S. Bukuku, the author of The Tanzanian Economy: Income Distribution and Economic Growth, argue that Nyerere's development policies promoted the modern, nascent industrial sector, at the expense of agriculture. The result was actually increased poverty in the countryside, and the creation of a few highly skilled and highly paid jobs associated with the parastatals and policies of import substitution industrialization.
Today, the cleavage (division; in this case economic) between the general peasantry and those with higher-paying jobs in the urban centers persists, though this type of inequality is characteristic of most countries that are still in the throes of the development process. According to the CIA World Factbook , the poorest 10 percent of the Tanzanian population consume a marginal 2.9 percent of total national consumption, while the richest 10 percent consume 30.2 percent. In 1998, the GNP per capita in Tanzania was estimated at a paltry US$220, whereas the GNP per capita in the United States was US$29,240 in the same year.
Social policy in Tanzania is currently guided by the so-called "Vision 2025," a comprehensive framework emphasizing 7 priority areas linked to overall poverty reduction. In 2000-01, the Tanzanian government allocated its budget amid these 7 priority areas as follows: education (23.2 percent), health (8.4 percent), roads (6.4 percent), agriculture (1.0 percent), judiciary (1.0 percent), water (0.6 percent), and HIV/AIDS (0.6 percent). While the government's coherent strategy is a welcomed development, the IMF notes that it needs work in some areas, including education, promotion of agricultural/rural development, gender strategies, and a more comprehensive approach to HIV/AIDS and the environment.
The vast majority of Tanzanians spend their meager incomes on the basic necessities of life, such as food, rent, clothing, fuel, and transportation. Very little is spent on entertainment and recreation, which are considered luxuries for those that live in considerable poverty.make matters worse, in the past 10 years the increase in the GNP per capita has been grossly outweighed by mounting inflation , which means that Tanzanians are having an increasingly difficult time purchasing the commodities essential for human existence. The UNDP estimates that the annual growth rate in GNP per capita between 1990 to 1998 was 0.4 percent, while the average annual rate of inflation during the same period was 24.3 percent

Read more: Tanzania Poverty and wealth, Information about Poverty and wealth in Tanzania Tanzania Poverty and wealth, Information about Poverty and wealth in Tanzania
 
Angalia hizi Statistic Data ili uone ukweli. Acha Ubishi study hizi data.

Report


EdStats - Country Profiles

Du mkuu yaani Millenium development Goals (MDGs) ambazo hata serikali yenyewe imekiri kwamba kuna uwezekano zinaweza zisifikiwe wewe ndiyo unaleta data zake? Halafu hueleweki unapojibiwa swali toa changamoto ni wapi jibu hilo liko tofauti na matarajio au facts ulizonazo lakini kwa utaratibu huu wa kurukia hapa mara kule tutakuwa hatufiki ndugu yangu. Jaribu kuwa specicific. Halafu kwenye hizo MDG's just go thru tis line:

[TABLE="width: 100"]
[TR]
[TD="class: clsAltRowHeader, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]1990[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]1995[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]2000[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: clsAltRowHeader, bgcolor: #FFFFFF"]Mortality rate, infant (per 1,000 live births)[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]99%[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]95%[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]86%[/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"]68%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: clsAltRowHeader, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[TD="class: clsAltDataPrezn1, bgcolor: #FFFFFF"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hiyo 68% kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…