Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Kwa hali ya sasa upinzani wanatakiwa wafanye jambo
 
Niko Fonti Feji.
Ila ukweli ndio huo, Chadem ni magaidi tu nao halali yao ni kupigwa tu. Tutawapiga na kuwapiga kila pale mtakapokuwa mnaenda kinyumé na taratibu za Nchi. Chadema hawana haki na nchi yetu.
Wanaume huwa wanapigana hawapigwi japo cdm naona imekuwa kama mwanamke anapigwa yy kazi kulalamika anasubiri tu et tukiwezeshwe tutaweza na anayekuwezesha ni mwanaume ambaye ndo anakupiga, pigeni tu mpaka waamke tu aidha wajiunge na ccm au waache siasa wakalime,
 
Mkuu mr mkiki kwa hoja hizi inaonekana wewe unachochea vita itokee kati ya CHADEMA na Serikali ya CCM. Hii ni hatari sana ndugu kama imefika mahali mtu unaweza kuandika uzi wa kishari shari kama huu basi hali ni mbaya. Mkuu fahamu kwamba Serikali yoyote ile duniani haiwezi kukubali kirahisi kufanyiwa hujuma unazozipendekeza wewe na halafu ikakaa kimya tu bila kuchukua hatua.

Kuwa makini sana na vitu unavyoandika maana "shari" huzaa "shari". Ushauri wako kwa CHADEMA utawaletea matatizo makubwa kuliko suluhisho.
Hautaleta hasara kwa chadema tu ila pande zote mbili na ndipo kukaa mezani kutafaa ila wakiendelea kulialia kutegemea huruma haitakaa itokee tutaharibu kodi zetu kufanya bongo muvi 2020 mtu atashinda 98% kama sio100%
 
Mkuu unazani MACCM wanataka majadiliano?
Mtoa mada yupo vizuri majadiliano yanatokea vipi wakati anayepoteza ni mmoja hivi utajadiliana na mfanyakazi wako ambaye hata ukimfukuza watoto wake ndo watalala njaa, ila itakuwaje kama ukimfukuza unafunga kiwanda japo watoto wake watalala njaa pia hapo lazima mtaheshimiana na kukaa mezani
 
Wanaume huwa wanapigana hawapigwi japo cdm naona imekuwa kama mwanamke anapigwa yy kazi kulalamika anasubiri tu et tukiwezeshwe tutaweza na anayekuwezesha ni mwanaume ambaye ndo anakupiga, pigeni tu mpaka waamke tu aidha wajiunge na ccm au waache siasa wakalime,
Bonge la pointi!
 
Hakuna haja ya kupigana, naomba; Chadema msikubali kuingizwa mkenge na hao!. Yana mwisho!.Mungu anaona,hakuna damu ya mtu inayopotea bure,dhuluma siku zote haiwezi kushinda haki;dunia inaona,Watanzania wa leo siyo wa jana wanaona na ukweli wanaujua. Majibu yapo karibu usiwe na haraka kuweni watulivu.Mungu atawashangaza
Walale afu wategemee mungu atafanya miujiza
 
Nasikia mama wa pogba yupo hoiii.Mungu bwana huwa ana namna yake.
 
Mtoa mada hajamaanisha vita ambavyo ww umeelewa inatakiwa wajipange sio kulalamikia wananchi bila ushahidi wakuleweka,hiv unafikiri ushahidi ukiwepo ambao upo strong mezani hawatakaa?
Kuna watu wapo wapo tu hapa duniani, mkuu
 
ufipa inafutika na itsahaulika ... labda wahamie kw awale ma role model wao 254
 
Chadema walikuwa wanawapiga wazee watu wazima kisa kuvaa sare za Chama cha Mapinduzi,nimeshuhudia sijahidithiwa.

Na mpaka leo kuna watu wanauchungu sana,basi tu kwasababu ya sheria
Wazee walikuwa wanasukumwa mitaroni na hawa watoto wa Bavicha.
Hao ni vichaa wachache tu msafara wa mamba haukosi kenge
 
Back
Top Bottom