Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Huyu LOFA anasema hatuwezi kuheshimiana hadi tumwage damu. Ndiyo maana Mzee Ben aliwaita malofa na wapumbavu,
Sijui anaandika tu bila fikilio, haya mwaga hiyo damu kama wanaume kweli, Ukuta mlishindwa maandamano ya fesibuku mmeshindwa alafu unaongea kumwaga damu.

Hili taifa tulikuwa tunataka maeendeleo tu na si siasa hata Chadema walikuwa wakihubili maendeleo ya nchi yetu tulianza kuwaamini tukashangaa baadaye wanapinga kilakitu hata Elimu bule ambayo ilikuwa sera yao wanaipinga.

Naomba vyombo vya usalama vimkamate huyu jamaa aunganishwe na akina Freeman mboye ktk kesi yao maana Mboe alisema lazima wafe watu 100 au 200 sasa yupo ktk kesi hili apate kujifunza.
Ofcoz unaweza kumfunga mbowe lakin unajua wapo wangapi? Unaweza kumkamata huyu utamfunga je unauhakika utakuwa umemaliza haki itachelewa tu mkuu lakini lazima ipatikane yule aliyepo upande wa haki atashinda tu siku moja
 
Mkuu vita unaijua au unaisikia tu kwa wenzako?? Haya mambo siyo ya kushabikia shabikia tu kama mpira vile. Ukitaka kuijua vita au harufu ya vita hebu safiri mpaka Syria ukaone kinachotokea kisha ndio utajua vita ni nini.

Mimi naamini kuna namna zingine za kupata solution kwenye mitafaruku lakini siyo vita, vita iacheni tu kwa majirani lakini siyo hapa kwetu.
Hiv unafikiri syria aliibuka tu siku moja wakaanza kupigana? Mkuu siyo leo na inaweza isiwe kesho na labda hatutakuwepo ila wakiendelea hiv? Trust vya upinzani vinaweza kufa lakini upinzani hautakufa
 
Siyo lazima niwepo mie.Je Mkwawa,Mirambo,Kimweri,Bushiri,Kinjekitile waliopambana na mkoloni walikuwepo wakati wa Uhuru?.Askari wanaoenda vitani nani mwenye uhakika wa kurudi hai?
Yule ambaye ushindi utamkuta akiwa hai ndo mshindi wengine ni kafara tu
 
Mkuu nani kasema njia zote za "kidemokrasia" zimeshindikana? Mimi naamini njia za halali za Kidemokrasia hazijashindikana bado. Tatizo ni CHADEMA wenyewe, kila uchaguzi wakishindwa wanakuja na visingizio kuwa "wamehujumiwa", hata siku moja hawajawahi kukubali kushindwa kistaarabu.

Suluhisho ni CHADEMA wakae chini wajitafakari upya na siasa zao, Watanzania wamechoka siasa za matukio, sasa hivi wanataka maendeleo na hayo wanaona kwa macho yao jinsi Rais wao anavyojitahidi kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana kila uchaguzi wa marudio unapofanyika Watanzania wanachagua CCM sababu imewahakikishia maendeleo wanayotaka.

Sasa ili CHADEMA waweze kushinda kwenye chaguzi zijazo na wao waje na SERA na MIKAKATI ya KIMAENDELEO itakayowavutia Watanzania hata waweze kuwachagua na siyo kubakia kulia lia tu na kusema wameibiwa kura.
Kwa upande wako unaona hivyo et mh, bd tuna njia ndefu sana
 
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Uko sawa 100% inabidi Sisi wenyewe ndio tuwashughulikie kwasababu tunaishi nao, tunalala nao na tunafanya nao kz pmj. Tukiwashughulikia hao hata hizo teuzi watazikimbia
 
Hao uliowataja walipata faida gani baada ya kupigana vita ambayo hawakushinda? Mfano mzuri ni Mkwawa aliishia kufa, sasa alipata faida gani maana kama ni kutawala, wakoloni walishinda na kutawala.

Hata wewe ukianza vita na CCM kamwe huwezi ukashinda, utaishia kufa na CCM itaendelea kutawala.
Ingekuwa kila mtu anawaza unavyowaza ww uhuru tusingeuona mpaka leo maana hata nyerere hakuwa na shida mfumo ulimfavour lakin alipambana kupata uhuru, unaowasema walishindwa vita kweli lakini ujumbe ulifika na ndo uliotuletea uhuru,
 
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.

Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
Endelea kujidanganya
 
Hakuna hoja yoyote ya msingi hapo, Unauliza maendeleo gani, wewe ni mgeni hapa Tanzania na huoni kinachofanywa na Serikali sasa hivi??

Polisi wanatumika kulinda raia na mali zao. Ulitaka wakati wa uchaguzi polisi wasifanye kazi zao za kuwalinda raia na mali zao??

Unaposema wapinzani wamenunuliwa, unao ushahidi unaoonesha kuwa kuna mtu amenunuliwa? Na kama siasa ni biashara ya kuwanunua wanachama ninyi mnashindwa nini kuwanunua hao wanachama??

Ukisema CCM inaua wapinzani, unaweza kutuambia nani ameuliwa na CCM ukiwa na ushahidi tosha kabisa?
Na ndiyo maana inahitajika nguvu ili ushahidi upatikane hata polisi wakupa sulubu pale wanapihitaji ushahidi wakutosha kukushtaki
 
Hujui uliloliandika. Nadhani umaendika ukiwa umekunja ndita. CDM wawe na inteligensia halafu CCM wenye madaraka yote wasiwe nayo!!.
Hujamuelewa nadhani, ni hiv ccm wanayo na wanaitumia alichoshauri ni cdm pia kuwa nayo nakuitumia ili nguvu iwe sawa sio kulalamika tu yaani unaporwa kitu mkononi unabaki kulia ka mtoto mdogo
 
Jeuri dawa yake ni kiburi. JK alitukanwa na Mbowe akiambiwa kwamba anachokisema au anachokiahidi sicho anachokitenda. Ilikuwa ni kauli ya dharau kubwa sana kwa amiri jeshi wa nchi.

Mbatia nae akamkashifu JK licha ya ukweli kuwa ni yeye aliyemteua kuwa mbunge. JK hakutendewa haki hata kidogo.

Ngosha ukimfuata kistaarabu atakuchukulia kistaarabu, ukijifanya kichwa ngumu atakupiga kichwani kama mtu anayeua nyoka.
Kwahiyo unachomaanisha mbowe aende ikulu apige magoti aombe jimbo asinyanganywe au sio
 
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Kuna Kitu kilicho iangusha CHADEMA ambacho hatukiangalii katika mijadala yetu! Kitu hicho ni pesa! CHADEMA sasa ina ukata mwingi sana kwa sababu hela nyingi iliyokuwa ina ipa kiburi CHADEMA ilikuwa siyo hela halali - sasa myanya hiyo imafungwa! Madawa ya kulevya yamedhibitiwa, mafisadi wamelipa kodi na kufilisika. Hala haitiririki kwa viongozi wa chini wa chama. Wakati huo huo, CCM inaimarisha vitega uchumi vyake na kuongeza wanachama. Kutokana na kukosa hela za kumwaga tu, wanachama wanamwaga manyanga wanakimbia. Hakuna anayenunuliwa wala anayechukia CHADEMA! Hiki chama kilishamiri on wrong foundation! Hela ya ruzuku tu haitoshi kuwafikia viongozi wote wa chadema - hivyo kusema inaibiwa siyo point kubwa ni kwamba zile hela za kumwagwa kutoka TRA, TPA etc. sasa zinajenga nchi awamu hii.
 
Wanasema! Asiekuheshimu mfanyie kitu akuogepe.
 
CHADEMA inatakiwa kuanzisha kitengo ‘maalum’ cha ‘kuwashughulika’ na mijitu misaliti kama waitara, mtatiro na ‘wasiojulika’ ili kurudisha heshima kwenye mstari, otherwise wasaliti na wasiojulina watapiga kambi CDM, .........
Wewe Jinga wabadilishe katiba ya chama chao mtu akiingia asitoke iwe kama ndoa ya kanisa
 
kuendelea kuamini ipo siku tutakua na ustaarabu wa kuchaguana bila kuumizana ni uongo wa hali ya juu kabisaaaa!! cha kwanza lazma kila mtu apoteze than wote tukae mezan kutafuta tulichokipoteza
 
Kuna Kitu kilicho iangusha CHADEMA ambacho hatukiangalii katika mijadala yetu! Kitu hicho ni pesa! CHADEMA sasa ina ukata mwingi sana kwa sababu hela nyingi iliyokuwa ina ipa kiburi CHADEMA ilikuwa siyo hela halali - sasa myanya hiyo imafungwa! Madawa ya kulevya yamedhibitiwa, mafisadi wamelipa kodi na kufilisika. Hala haitiririki kwa viongozi wa chini wa chama. Wakati huo huo, CCM inaimarisha vitega uchumi vyake na kuongeza wanachama. Kutokana na kukosa hela za kumwaga tu, wanachama wanamwaga manyanga wanakimbia. Hakuna anayenunuliwa wala anayechukia CHADEMA! Hiki chama kilishamiri on wrong foundation! Hela ya ruzuku tu haitoshi kuwafikia viongozi wote wa chadema - hivyo kusema inaibiwa siyo point kubwa ni kwamba zile hela za kumwagwa kutoka TRA, TPA etc. sasa zinajenga nchi awamu hii.
Nailed properly
 
kuendelea kuamini ipo siku tutakua na ustaarabu wa kuchaguana bila kuumizana ni uongo wa hali ya juu kabisaaaa!! cha kwanza lazma kila mtu apoteze than wote tukae mezan kutafuta tulichokipoteza
HAHAHAHA wazee wa kutoa UTUMBO hulehuleer.Maneno ya bosi wenu ya kumwaga damu. Mtasubiri sana, Dr Slaa aliwafanyia mentaling mkabadilika kuondoka uanaharakati sasa mko gizani Totoro. Wazee wa
 
Back
Top Bottom