Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Kuna haja sasa kubadilisha mbinu kupambana hawa maharamia
 
mimi nadhan hili ndo litakua solution,

nchi zenye vita sio kwamba hawapendi amani ni kutokana na watu kuchoka uonevu!!

bora vita tu itokee.

Ushauri mzuri ,wacha ifike hiyo 2020 tumalizane wenyewe Mtaani huku.
 
Hivi sasa hivi Mwinyi akiamua kurudi kwenye kiti chake haiwezekani??
 
Chadema msije mkadanganywa na huo ulevi wa viroba?!!
 

Dawa ya Jeshi la Polis ni ndogo Mkuu sababu tupo nao Mtaani kwa wingi ,haiwezekani Watuue kila Siku na kutuvunja Viungo vyetu.
 
Q..a wewe
 
Wewe umeshawahi "kufa" hadi useme ni furaha kufa?????

Mkuu ni hivi, watu wamechoka na hakuna anayejali maendeleo yanayohubiriwa. Sidhani kama serekali hii imeleta au itakaa ifikie maendeleo ya makaburu wa Africa kusini na bado waliondolewa madarakani. Maendeleo ni haki yetu kwani tunalipa kodi na sio hisani ya kiongozi. Iweje mtu ashinde bila ridhaa kwa kisingizio cha kuleta maendeleo wakati hela anayotumia sio yake binafsi? Machafuko pekee ndio njia sahihi ya huu ukatili.
 
ndugu

inaonesha wew ndo mgeni kweny hii nchi

kama huwajuu walompiga tundu lisu risasi 38 vungaaa

inaonesha unaongea while umekalia m....o
Mkuu mimi ninapojadili uzi huwa najadili kwa hoja na siyo matusi. Kama wewe hoja zimekuishia kaa kimya na siyo kuanza kutukana watu, siku zote ukiona mtu ana kimbilia kutukana fahamu kwamba mtu huyo uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana.

Sina haja ya kuendelea kujadiliana na wewe sababu huna hoja za msingi, bali umejawa na matusi.

Cc. Moderator
 
Bule = bure
Fikilia = fikiria
Jifunze kwanza kuandika kabla ya kupost pumba zako.
 
Yaani mnanipa kichefuchefu nyie wana Bavicha ningekuwa karibu yenu ningewapa mambo kama haya
 
CCM haishindi uchaguzi inapora uchaguzi
 
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.

Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.

Aliyekudanganya sheria zinafuatw sasa hivi ni nani? Unadhani hao wanajeshi ni vipofu hawaoni huu ukiukwaji wa sheria? Hilo jeshi limejaa wanajeshi vijana kibao na hawaikubali hiyo ccm. Wao wanangoja wananchi walianzishe kisha waingilie. Kama unadhani mwenyekiti wa ccm kutumia nafasi yake ya uamiri jeshi mkuu kwa faida ya chama chake hapo umeumia. Wananchi wameichoka ccm na ndio maana hawajitokezi kwa wingi kupiga kura. Na hili la wapiga kura kupungua ni dalili kwamba hamkubaliki. Mmejisahau mnadhani jeshi ni kitengo cha ccm, na kwa taarifa hilo jeshi limewachoka linatungoja tu sisi wananchi tulianzishe. Rejea matumizi ya Mugabe kwa jeshi huko Zimbabwe na jeshi lilivyomgeuka.
 
Hujui uliloliandika. Nadhani umaendika ukiwa umekunja ndita. CDM wawe na inteligensia halafu CCM wenye madaraka yote wasiwe nayo!!.
 


hoja unazijua?

au unaongea ongea tu kmmmk natukana coz unaongea pumba!!

yan naona kama vile nabishana nazezeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…