Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Son of Gamba kwa mfano wewe unadhani njia gari bora itumike wakati njia zote za kidemokrasia zimeshindikana? hili ni jukwaa huru labda utuambie kwa mtazamom wako wewe ni njia gani inafaa? usikimbilie kwenye kutishia vita tu na ukadhani watu wanatishika kaka, weka hapa ni njia gani unadhani wewe zinafaa? mr mkiki nadhani umetumia maneno ya sitiari kidogo kuficha ukakasi wa bandiko lako, lakini kauli nzuri ni kuwa CHADEMA na muungano wote wa vyama watafute mbadala wa njia gani za kukabiliana na Jeshi la polisi. Hio hasa ndio ilikuwa kauli sahihi kutumia. Uchaguzi wa juzi Buyungu mgombea anasema walipelekwa Field Force 400 tena usiku mnene na Katibu mkuu CCM anasema vita ni wakati wote, sasa hapo unadhani kuna nini tena? kwenye bandiko lako ondoa neno intelijensia weka neno "Techniques za kupambana na jeshi la polisi na tume yake"
Mkuu nani kasema njia zote za "kidemokrasia" zimeshindikana? Mimi naamini njia za halali za Kidemokrasia hazijashindikana bado. Tatizo ni CHADEMA wenyewe, kila uchaguzi wakishindwa wanakuja na visingizio kuwa "wamehujumiwa", hata siku moja hawajawahi kukubali kushindwa kistaarabu.

Suluhisho ni CHADEMA wakae chini wajitafakari upya na siasa zao, Watanzania wamechoka siasa za matukio, sasa hivi wanataka maendeleo na hayo wanaona kwa macho yao jinsi Rais wao anavyojitahidi kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana kila uchaguzi wa marudio unapofanyika Watanzania wanachagua CCM sababu imewahakikishia maendeleo wanayotaka.

Sasa ili CHADEMA waweze kushinda kwenye chaguzi zijazo na wao waje na SERA na MIKAKATI ya KIMAENDELEO itakayowavutia Watanzania hata waweze kuwachagua na siyo kubakia kulia lia tu na kusema wameibiwa kura.
 
Mkuu mr mkiki kwa hoja hizi inaonekana wewe unachochea vita itokee kati ya CHADEMA na Serikali ya CCM. Hii ni hatari sana ndugu kama imefika mahali mtu unaweza kuandika uzi wa kishari shari kama huu basi hali ni mbaya. Mkuu fahamu kwamba Serikali yoyote ile duniani haiwezi kukubali kirahisi kufanyiwa hujuma unazozipendekeza wewe na halafu ikakaa kimya tu bila kuchukua hatua.

Kuwa makini sana na vitu unavyoandika maana "shari" huzaa "shari". Ushauri wako kwa CHADEMA utawaletea matatizo makubwa kuliko suluhisho.
Mkuu,
Kwa nini unamshutumu yeye bila ya kuangalia ni nini hasa chanzo cha uzi wake? Kwa nini ujifanye kipofu wa kutokuona kilichompelekea kuandika haya.... si angalau yeye mmoja kaandika unajuwa wangapi tayari wanafikiria kuliko haya? Matanyanyasa watu mpaka lini?

Mimi nimuongezee moja ambalo mkuu Mkiki amelisahau ni 'Kila mbunge atakaechaguliwa na upinzani halafu akatusaliti agomewe kwa kila hali' Kwa mfano raia wanaoishi nae jimboni wamtenge kwa kila hali.....
Ni lazima ifike mahali tuseme basi!!!!

Amani hupatikana automatically ikiwa haki itakuwepo!!
 
Iwapo chadema itashinikiza tupigane sisi kwa sisi Chadema kitafutiwai usajili.(which means ruzuku kwishaa)

Pili kamata kamata kila kijiwe itaanza ambayo itaambatana kipigo cha hataree!.
Wakiwamo viongozi wahamasishaji Lema and the likes.

Tatu nchi itatulia tulii hakuna bughdha wala mambo ya pipoz pawa.

Nne Kitasajiliwa chama kipya na watu wa kitengo ambacho kitakuja kuziba ombwe.
Kinaweza kikaitwa Chama Cha Maendeleo na Demokrasia Chamade kwa kifupi.
 
Yule Demu wa Marekani alisema, kama Wadanganyika wataogopa kuingia barabarani tarehe ile , basi Jiwe lingepata imani kuwa haliwezekaniki, na baada ya hapo lingefanya kila aina ya mambo ya ajabu ajabu. Leo yanatimia, haujapita hata mwaka yanaonekana wazi!
 
Mkuu nani kasema njia zote za "kidemokrasia" zimeshindikana? Mimi naamini njia za halali za Kidemokrasia hazijashindikana bado. Tatizo ni CHADEMA wenyewe, kila uchaguzi wakishindwa wanakuja na visingizio kuwa "wamehujumiwa", hata siku moja hawajawahi kukubali kushindwa kistaarabu.

Suluhisho ni CHADEMA wakae chini wajitafakari upya na siasa zao, Watanzania wamechoka siasa za matukio, sasa hivi wanataka maendeleo na hayo wanaona kwa macho yao jinsi Rais wao anavyojitahidi kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana kila uchaguzi wa marudio unapofanyika Watanzania wanachagua CCM sababu imewahakikishia maendeleo wanayotaka.

Sasa ili CHADEMA waweze kushinda kwenye chaguzi zijazo na wao waje na SERA na MIKAKATI ya KIMAENDELEO itakayowavutia Watanzania hata waweze kuwachagua na siyo kubakia kulia lia tu na kusema wameibiwa kura.

maendelea gani ?? kwann ccm watumie polisi katika uchaguzi?? kwann ccm wanunue wapinzani? kwann ccm waue wapinzani??

kwann itumike nguvu nyingi kweny suala la uchaguzi??
 
Mkuu nani kasema njia zote za "kidemokrasia" zimeshindikana? Mimi naamini njia za halali za Kidemokrasia hazijashindikana bado. Tatizo ni CHADEMA wenyewe, kila uchaguzi wakishindwa wanakuja na visingizio kuwa "wamehujumiwa", hata siku moja hawajawahi kukubali kushindwa kistaarabu.

Suluhisho ni CHADEMA wakae chini wajitafakari upya na siasa zao, Watanzania wamechoka siasa za matukio, sasa hivi wanataka maendeleo na hayo wanaona kwa macho yao jinsi Rais wao anavyojitahidi kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana kila uchaguzi wa marudio unapofanyika Watanzania wanachagua CCM sababu imewahakikishia maendeleo wanayotaka.

Sasa ili CHADEMA waweze kushinda kwenye chaguzi zijazo na wao waje na SERA na MIKAKATI ya KIMAENDELEO itakayowavutia Watanzania hata waweze kuwachagua na siyo kubakia kulia lia tu na kusema wameibiwa kura.
rubish....
 
katiba ndo kitu gani ww !!!
sheria tu zimeshindwa kufatwa itakua katiba??
katiba ni maandishi tu mkuu!!!

tunaweza kupata katiba na isifuatwe vile vile
we unasema nn alifu,, sisi cha msingi ni kudeal na hawa viongozi mana tunaishi nao
Zipigwe hata kwa mwaka mmoja.Wapo tutakaopoteza uhai.Ikiwa walikuwa upande wa wakandamizaji ni wasaliti wa nchi.Wakiwa upande wa Wananchi ni mashujaa na mashujaa ambao historia itawaenzi milele.Hakika kutakuwa na mabadiliko baada ya kuzipiga kavukavu.
 
Mkuu mr mkiki kwa hoja hizi inaonekana wewe unachochea vita itokee kati ya CHADEMA na Serikali ya CCM. Hii ni hatari sana ndugu kama imefika mahali mtu unaweza kuandika uzi wa kishari shari kama huu basi hali ni mbaya. Mkuu fahamu kwamba Serikali yoyote ile duniani haiwezi kukubali kirahisi kufanyiwa hujuma unazozipendekeza wewe na halafu ikakaa kimya tu bila kuchukua hatua.

Kuwa makini sana na vitu unavyoandika maana "shari" huzaa "shari". Ushauri wako kwa CHADEMA utawaletea matatizo makubwa kuliko suluhisho.
Afadhali yatokee kuliko ujinga na upuuzi unaofanywa na ccm yenu
 
Mkuu nani kasema njia zote za "kidemokrasia" zimeshindikana? Mimi naamini njia za halali za Kidemokrasia hazijashindikana bado. Tatizo ni CHADEMA wenyewe, kila uchaguzi wakishindwa wanakuja na visingizio kuwa "wamehujumiwa", hata siku moja hawajawahi kukubali kushindwa kistaarabu.

Suluhisho ni CHADEMA wakae chini wajitafakari upya na siasa zao, Watanzania wamechoka siasa za matukio, sasa hivi wanataka maendeleo na hayo wanaona kwa macho yao jinsi Rais wao anavyojitahidi kuwaletea maendeleo. Ndiyo maana kila uchaguzi wa marudio unapofanyika Watanzania wanachagua CCM sababu imewahakikishia maendeleo wanayotaka.

Sasa ili CHADEMA waweze kushinda kwenye chaguzi zijazo na wao waje na SERA na MIKAKATI ya KIMAENDELEO itakayowavutia Watanzania hata waweze kuwachagua na siyo kubakia kulia lia tu na kusema wameibiwa kura.
Hovyoo mijitu mingine bwana
 
Siyo lazima niwepo mie.Je Mkwawa,Mirambo,Kimweri,Bushiri,Kinjekitile waliopambana na mkoloni walikuwepo wakati wa Uhuru?.Askari wanaoenda vitani nani mwenye uhakika wa kurudi hai?
Hao uliowataja walipata faida gani baada ya kupigana vita ambayo hawakushinda? Mfano mzuri ni Mkwawa aliishia kufa, sasa alipata faida gani maana kama ni kutawala, wakoloni walishinda na kutawala.

Hata wewe ukianza vita na CCM kamwe huwezi ukashinda, utaishia kufa na CCM itaendelea kutawala.
 
Hao uliowataja walipata faida gani baada ya kupigana vita ambayo hawakushinda? Mfano mzuri ni Mkwawa aliishia kufa, sasa alipata faida gani maana kama ni kutawala, wakoloni walishinda na kutawala.

Hata wewe ukianza vita na CCM kamwe huwezi ukashinda, utaishia kufa na CCM itaendelea kutawala.
Ushindi wao ulipatikana kwa kazi kumaliziwa na Mwalimu kumtimua mkoloni mweupe.Bahati mbaya sana akaja mkoloni mweusi.Sio lazima mie,hata wajukuu zangu na majirani zangu inatosha pia wakija faidi matunda ya ushujaa wangu.
 
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Kaka kama tume ya uchaguzi ni hii ya ccm cdm hata wafanye nini hawawezi kushinda uchaguzi ujao
 
Mimi nimuongezee moja ambalo mkuu Mkiki amelisahau ni 'Kila mbunge atakaechaguliwa na upinzani halafu akatusaliti agomewe kwa kila hali' Kwa mfano raia wanaoishi nae jimboni wamtenge kwa kila hali.....
Ni lazima ifike mahali tuseme basi!!!!
Mkuu Watanzania ndiyo wanaopiga kura na wao ndiyo wanaamua nani wamchague. Hata ukisema watu wamtenge mbunge anayehama chama, watamtenga vipi wakati wanakubaliana naye?? Nasema wanakubaliana naye maana hata uchaguzi ukirudiwa, yule anayehamia CCM ndiye anayeshinda, hiyo ni kilelezo tosha kuwa wananchi wa jimboni kwake wanakubaliana naye.

Tatizo ni CHADEMA kutokuwa na SERA za MAENDELEO KWA WANANCHI, na wananchi wamechoka na sera za maandamano kila siku, watu wanataka maendeleo kama anavyofanya Rais wao Magufuli.
 
Iwapo chadema itashinikiza tupigane sisi kwa sisi Chadema kitafutiwai usajili.(which means ruzuku kwishaa)

Pili kamata kamata kila kijiwe itaanza ambayo itaambatana kipigo cha hataree!.
Wakiwamo viongozi wahamasishaji Lema and the likes.

Tatu nchi itatulia tulii hakuna bughdha wala mambo ya pipoz pawa.

Nne Kitasajiliwa chama kipya na watu wa kitengo ambacho kitakuja kuziba ombwe.
Kinaweza kikaitwa Chama Cha Maendeleo na Demokrasia Chamade kwa kifupi.
Hivi Al Shabaab au Boko Haram imesajiliwa na nani?
 
Ushindi wao ulipatikana kwa kazi kumaliziwa na Mwalimu kumtimua mkoloni mweupe.Bahati mbaya sana akaja mkoloni mweusi.Sio lazima mie,hata wajukuu zangu na majirani zangu inatosha pia wakija faidi matunda ya ushujaa wangu.
Endelea kujidanganya mkuu, hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria. Tena inalo jeshi la ulinzi lililo imara kweli kweli, watu kama ninyi mtashughulikiwa na hamtajua nani amewashughulikia.

Fanyeni siasa, mambo ya vita hamuyawezi hata kidogo.
 
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Kuna hao wanaohama, nao wanatakiwa wanyofolewe korodani na koleo, wakianza na Mwita. Hakuna atakayerudia tena wala kuwaza kuhama, maana imekua mchezo wa kipumbavu na kuchezea kodi ya watz! Kila siku uchaguzi, tunapotezeana mda bila sababu ya msingi kisa uchaguzi wa marudio
 
Back
Top Bottom