Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
Mnazingua sana
 
Chadema kama mnafikiri kuingia msituni ni kama kunywa viroba ingieni
tumblr_onqm0tjQCk1vdqfjoo1_400.gif
 
Ushindani upo, lakini yapo mengi tu ambayo ni adui wa maendeleo ya nchi za kiafrika yanayojificha kwenye huo huo ushindani. Vyama vingi viwepo lakini nchi isiingizwe kwenye anarchy kwa kigezo cha demokrasia.

Watu waache kuwekeza kwenye ujasiriamali na kilimo waende kukaa juani kuwasikiliza wanasiasa kwa kigezo cha demokrasia na ushindani.

Hao walioutuletea huo ushindani hawana siasa za bei rahisi kama zetu. Wanamaliza uchaguzi na akili zao zote zinahamia kwenye uzalishaji mali.

Sisi huku tunadanganya kuwa siasa za kweli ni za kutembea nchi nzima na kufanya mikutano january mpaka desemba. Hakuna kitu kama hicho.

Kwa taarifa yako nchi yetu kuingizwa kwenye anarchy ccm sio chama sahihi cha kuamua hilo. Mpaka tunavyoongea kuna mikataba mingi yenye utata iliyoingiwa na viongozi waandamizi wa ccm na hakuna hata mmoja aliye chukuliwa hatua zaidi ya mikwara.

Ni nani alilazimishwa kuacha kazi zake akalazimishwa kwenda kwenye siasa? Hao waliotuletea siasa za ushindani ni kweli hawana siasa za kipuuzi na wakimaliza uchaguzi wanaendelea na kazi kwani huwapata viongozi wao kihalali. Sio hapa mtu hajachaguliwa eti analazimisha kajenga daraja kwa hela ya Mjapani anataka akae madarakani bila ridhaa ya watu.

Kutembea nchi zima ni halali kisheria ili mradi huvunji sheria na hulazimishi mtu kuacha shughuli zake na kujiunga na chama chako. Ni nani umeona akifanya mikutano nchi nzima Jan- dec. Huu ni utetezi dhaifu. Kila mara tunaona wahubiri wakihubiria waumini wao sehemu za wazi, kuna tofauti gani na hiyo mikutano ya siasa? Ukiishiwa mvuto ndio unaanza kutunga sheria kudhibiti wenye mvuto?
 
Katika mazingira ya box la kura kutokuheshimiwa basi mleta uzi kaja na wazo sahihi la kuwatoa kwa njia ambayo itafanya box la kura kuheshimiwa baada ya kutiana adabu.
Box la kura (ballot box) haliheshimiwi pale tu CHADEMA wanapokosa ushindi, lakini wakipata ushindi ballot box inakuwa imeheshimiwa??
 
Mkuu hata huko msituni hawatafika kabla hawajasambaratishwa kabisa. Hawa watoto wa CHADEMA wanafikiri jeshi la hii nchi ni kama la Somalia, nawaambia hivi, "mtapata tabu sana"!
Hakuna jeshi litakalozidi nguvu za wananchi wewe..... Kasome tena
 
Box la kura (ballot box) haliheshimiwi pale tu CHADEMA wanapokosa ushindi, lakini wakipata ushindi ballot box inakuwa imeheshimiwa??

Tuna ushahidi wa kinacho na kilichoendelea kwenye uchaguzi.
 
Mkuu hata huko msituni hawatafika kabla hawajasambaratishwa kabisa. Hawa watoto wa CHADEMA wanafikiri jeshi la hii nchi ni kama la Somalia, nawaambia hivi, "mtapata tabu sana"!
Hili jeshi limewakomboa Msumbiji,Zimbabwe,Angola,Namibia, kutoka katika mikono ya wakoloni na wabaguzi wa rangi,sasa hawa bawacha watatuchafulia hali ya hewa ya misitu yetu.
 
Mkuu hata huko msituni hawatafika kabla hawajasambaratishwa kabisa. Hawa watoto wa CHADEMA wanafikiri jeshi la hii nchi ni kama la Somalia, nawaambia hivi, "mtapata tabu sana"!

Unadhani jeshi halioni kwamba mnapora kura? Hawako na nyie kwa hivyo, wanangoja tu wananchi walianzishe. Muuibe kura kwa kudhani jeshi litawabeba, basi mjue mmeliwa.
 
Kwa taarifa yako nchi yetu kuingizwa kwenye anarchy ccm sio chama sahihi cha kuamua hilo. Mpaka tunavyoongea kuna mikataba mingi yenye utata iliyoingiwa na viongozi waandamizi wa ccm na hakuna hata mmoja aliye chukuliwa hatua zaidi ya mikwara.

Ni nani alilazimishwa kuacha kazi zake akalazimishwa kwenda kwenye siasa? Hao waliotuletea siasa za ushindani ni kweli hawana siasa za kipuuzi na wakimaliza uchaguzi wanaendelea na kazi kwani huwapata viongozi wao kihalali. Sio hapa mtu hajachaguliwa eti analazimisha kajenga daraja kwa hela ya Mjapani anataka akae madarakani bila ridhaa ya watu.

Kutembea nchi zima ni halali kisheria ili mradi huvunji sheria na hulazimishi mtu kuacha shughuli zake na kujiunga na chama chako. Ni nani umeona akifanya mikutano nchi nzima Jan- dec. Huu ni utetezi dhaifu. Kila mara tunaona wahubiri wakihubiria waumini wao sehemu za wazi, kuna tofauti gani na hiyo mikutano ya siasa? Ukiishiwa mvuto ndio unaanza kutunga sheria kudhibiti wenye mvuto?
Ridhaa ya watu. Hao watu sio wa buyungu na haya majimbo machache, ni wengi.

Hao watu ni wale milioni sita waliompa kura mzee Mamvi na ni wale milioni nane waliompa kura Ngosha.

Nidhamu ni lazima iwepo ili nchi iweze kupiga hatua, zile siasa za kila mtu kutaka kuwa na kibesi kwa kigezo cha demokrasia, hazipo tena.
 
Ridhaa ya watu. Hao watu sio wa buyungu na haya majimbo machache, ni wengi.

Hao watu ni wale milioni sita waliompa kura mzee Mamvi na ni wale milioni nane waliompa kura Ngosha.

Nidhamu ni lazima iwepo ili nchi iweze kupiga hatua, zile siasa za kila mtu kutaka kuwa na kibesi kwa kigezo cha demokrasia, hazipo tena.

Weka ushahidi siasa inazuiaje kusonga mbele?
 
Back
Top Bottom