hhahaha !dah..naogopa kujibu...Uliyoandika humu ni kusogeza mda tu.
Yan kuna fursa humuEx yule ambae nampenda bado. Kweli sijaachana nae kwa moyo wangu wote kuna muda nammiss kweli. Labda nikipata replacement nitamsahau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahah hapana aisee
Hongera san mkuu kwani kunawanaume hawajui umuhimu wa kumnunulia ampendae zawadiKunipa zawadi ya kitenge ni zawadi niloipokea kwa moyo wangu wooooote!!!! Kila siku nakiangalia tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu mimi huwa na mkumbuka wangu na namba zake ninazo lakini sintowahi kumpigia katu ”"
hahaaa mkuu "" Nina muda mrefu tangu NI break up nae nilipoamua kuachana nae ...nilimpatia tofali (block) ..ktik acc zake zote mpka kwenye namba zake za cm....then life goesss on ...sitaki kumtafuta kwa sbabu nilikuwa nampenda sana ..so kumtafuta kwangu kuna weza kunizidi msimamo nikajikuta naanza kumfikiria upya nakuhitaji kuwa naye ...kitu ambacho akili yangu inakipinga ...hata kuonana naye pia sitaki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aiseee hapo unategea yy
Akuanze na unamtaka tena
Ila kumuanza n shda
Kunipa cash 2 M.
Fanya kunitunuku na mimi rinda
Asante mkuuHongera san mkuu kwani kunawanaume hawajui umuhimu wa kumnunulia ampendae zawadi
Mwanaume jifunze kitu hapo(ukimnunulia zawadi umpendae huwa anaiangalia mara kwa mara)
sawa tunakupa mdaMimi sina mpenzi nikipata nitaleta mrejesho.
Excellent bibie.jibu murua kabisaKunipa Mimba.
Mambo vipiMm hata akiongea kitu kizuri baada ya muda nakuja kujua ni uongo..ni muongo sijawahi kuona[emoji23][emoji23]