Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa kesha zeeka Tayari...ukimuwaza sana magu na ficiem utadataWewe kuwa serious muda wote mwshowe uzeeke kabla ya muda wako.
hahaaaKunipa Mimba.
hahaaaaMm hata akiongea kitu kizuri baada ya muda nakuja kujua ni uongo..ni muongo sijawahi kuona[emoji23][emoji23]
weeee acha tu mkuu daaahhKutambulishwa kwa Kwa wakwe
Ila Sasa imebak story tu
Yam maisha yanaenda kas sana
hahaaaNapenda mambo ya hatari mimi ..sijui lin atarudia tena ile kitu
hahaas watu wamevurugwa humu ...naufuatia kama mechi ya barca na real vile ..hata mimi siuachiHuu uzi walahi nitasoma kila comment siachi hata!
mkuu mimi huwa na mkumbuka wangu na namba zake ninazo lakini sintowahi kumpigia katu ”"Ex yule ambae nampenda bado. Kweli sijaachana nae kwa moyo wangu wote kuna muda nammiss kweli. Labda nikipata replacement nitamsahau
hahaaaa eti nahonga ..daaahhDaah kilimanjaro bus,siti ya nyuma kabisa pembeni ya choo, nikiwa njiani kuelekea moshi daah kabinti flan kalikuwa kanaenda shule form 6, nilikutana nacho huko huko kwenye bus, alikula koni njia nzima story ndefu sana kila nikikumbuka hiyo safari nataman clesensia wangu amalize tuu mtihani arudi
jambo zuri nililowah kumfanyia mpenz wangu ni kumpenda sana na kumpa ela, muda wangu na vitu vidogo vidogo ipad air 2, iPhone 5s, akapoteza nikamnunulia itel na juzi tena nimembadilishia nikamnunulia galaxy S7 nahongaaa
uzuri wote huo hujaolewa hao ma Jamaa uliowahi kuwa nao wanakichaabado !ndo nahangaika na love connekt kule sijabahatika bado !na umri ushanitupa mkono!nadata
lolNi pm namba yko, iwapo ni kweli kwenye katelelo unarusha maji.
uzuri wote huo hujaolewa hao ma Jamaa uliowahi kuwa nao wanakichaa
hapo sawa !!!haaaaahhh its jus a chitchat kuvuta siku kwa kuifkia 26.4!lol!hajambo rafikio [HASHTAG]#mambembe[/HASHTAG]
Kwa iyo kumbe sio kweli!?haaaaahhh its jus a chitchat kuvuta siku kwa kuifkia 26.4!lol!hajambo rafikio [HASHTAG]#mambembe[/HASHTAG]
ahhahah hata sijui unaulizia ukwel upi!nimechat meng!unamaanisha nnKwa iyo kumbe sio kweli!?
Uliyoandika humu ni kusogeza mda tu.ahhahah hata sijui unaulizia ukwel upi!nimechat meng!unamaanisha nn