Jambo zuri alilowahi kukufanyia mpenzi wako

Jambo zuri alilowahi kukufanyia mpenzi wako

list kidogo
Kwanza kabisa kitendo cha kunichagua mimi kama mimi mahondaw [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] .............najua wapo na walikuepo warembo weeeeengi sasa na hata kabla yangu waliokua rafiki zake na sometimes hata kuvuka urafiki huu wa kawaida... Walioenda nae extra miles kidogo but my appearance to him akaona am the best....si kwamba mimi ni mzuuuuuuri sana NO ... But aliependezwa nae.., Praise the Loooord..
Pili kitendo cha sometimes kuniachia cm yake tu ni kitendo cha ushujaaa sana kwa dunia ya leo........ Hajaweka password wala nini... Cm ikipiga ameniruhusu nipokee yeyote yule nipokee thou I never answer his call never hata iweje atakuta missed call zake,, mitandaoni nikitaka kuingia kwa account yake I can but hello no.. Naona notifictaion tu pale juu Napita kuleeee. [emoji117] [emoji117] [emoji124] [emoji124] because hakuwahi kunificha kitu from the beginning...

Nisiseme mengi kwa hayo tu....

***GLORY BE TO GOD **



Cc Smart911
 
Daah kilimanjaro bus,siti ya nyuma kabisa pembeni ya choo, nikiwa njiani kuelekea moshi daah kabinti flan kalikuwa kanaenda shule form 6, nilikutana nacho huko huko kwenye bus, alikula koni njia nzima story ndefu sana kila nikikumbuka hiyo safari nataman clesensia wangu amalize tuu mtihani arudi

jambo zuri nililowah kumfanyia mpenz wangu ni kumpenda sana na kumpa ela, muda wangu na vitu vidogo vidogo ipad air 2, iPhone 5s, akapoteza nikamnunulia itel na juzi tena nimembadilishia nikamnunulia galaxy S7 nahongaaa
 
Kwanza kabisa kitendo cha kunichagua mimi kama mimi mahondaw [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] .............najua wapo na walikuepo warembo weeeeengi sasa na hata kabla yangu waliokua rafiki zake na sometimes hata kuvuka urafiki huu wa kawaida... Walioenda nae extra miles kidogo but my appearance to him akaona am the best....si kwamba mimi ni mzuuuuuuri sana NO ... But aliependezwa nae.., Praise the Loooord..
Pili kitendo cha sometimes kuniachia cm yake tu ni kitendo cha ushujaaa sana kwa dunia ya leo........ Hajaweka password wala nini... Cm ikipiga ameniruhusu nipokee yeyote yule nipokee thou I never answer his call never hata iweje atakuta missed call zake,, mitandaoni nikitaka kuingia kwa account yake I can but hello no.. Naona notifictaion tu pale juu Napita kuleeee. [emoji117] [emoji117] [emoji124] [emoji124] because hakuwahi kunificha kitu from the beginning...

Nisiseme mengi kwa hayo tu....

***GLORY BE TO GOD **



Cc Smart911
hongera
 
Back
Top Bottom