Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Katika waandishi wa habari walioongozana naye yumo mtoa habari wetu, hivyo tegemeeni kupata taarifa za uhakikaSasa wewe ulitaka asipokelewe au?
Sawa.Katika waandishi wa habari walioongozana naye yumo mtoa habari wetu , hivyo tegemeeni kupata taarifa za uhakika
Unamaanisha Mbatia auwe Chadema?Hii inaitwa viburi watakula jeuri yao. Ni wakati sasa Mbowe aende ikulu kupiga magoti ili walau aachiwe majimbo hata matano uchaguzi huu. Lakini hii inakera sana why double standards?
Kwa kuwa Mbatia hana madhara wala tishio lolote kwa CCM hawrzi kusumbuliwa. Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.Kati ya viongoz wa upinzani ambao hawajasumbuliwa sana wakat wa utawala huu ni huyu,jera hajaichungulia sana..
Namaanisha mbowe aende kulamba miguu ikulu ili abakiziwe walau majibo matano. Wale wote walioenda kulamba wamejihakikishie walau majimbo kadhaa. So kakaako mbowe akiwa jeuri atakula kiburiUnamaanisha Mbatia auwe Chadema ?
Mbowe hawezi fanya huo upumbavuHii inaitwa viburi watakula jeuri yao. Ni wakati sasa Mbowe aende ikulu kupiga magoti ili walau aachiwe majimbo hata matano uchaguzi huu. Lakini hii inakera sana why double standards?
Hawezi kufanya umalaya huo kwani hana bei? Mbona alinunulika kwa kumuachia geto lowasa
Ndo uone uhovyo wa siasa za Magufuli sasa.
Kwanini usiulize kupona kwake?Hakaja danji tu?
Umekaririshwa, hii mbona ilishachuja kitambo.Hawezi kufanya umalaya huo kwani hana bei? Mbona alinunulika kwa kumuachia geto lowasa