Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Heri kuwa masikini huru kuwa tajiri mtumwa, CHADEMA tupo tayari tukose wabunge kuliko kuwasaliti watanzania wenzetu zaidi ya 8m
In God we Trust
Namaanisha mbowe aende kulamba miguu ikulu ili abakiziwe walau majibo matano. Wale wote walioenda kulamba wamejihakikishie walau majimbo kadhaa. So kakaako mbowe akiwa jeuri atakula kiburi
In God we Trust