James Mbatia afanya ziara mkoani Mbeya, apokelewa na Mkuu wa Mkoa na kuhakikishiwa ulinzi

James Mbatia afanya ziara mkoani Mbeya, apokelewa na Mkuu wa Mkoa na kuhakikishiwa ulinzi


Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mh James Mbatia amefika Mkoani Mbeya kwa ziara ya kichama na Kupokelewa na RC wa Mkoa huo huku akiahidiwa ulinzi.

Katika ziara yake hiyo ya kichama atafika Busokelo ambako atapokea wanachama wapya wa chama hicho kutoka Chadema.

Ziara hii imekuja baada ya jana kufika ikulu kuteta na Mh. Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.

Ina maana hiyo ziara ni matokeo ya kukutana na Rais? Je hao wanachama walikuwa tayari wameshaandaliwa na alienda Ikulu kuomba kibali cha kuwapokea? au ina maana katumwa na mwenyekiti mwenzake wa chama kingine walipokutana ikulu ili wakisha ingia nccr then wapitilize moja kwa moja hadi kijani?
 
Pumbafu sana wewe, unadhani mimi nafuata upepo kama wewe?

Ingia kwenye bio yangu utazame nimejiunga lini jf na michango yangu kwa upinzani.

Mimi siyo mfia tumbo kama nyinyi mashetani wa kijani

In God we Trust
Hawa mapimbi ya Lumumba siku wakijua sisi ni miongoni mwa wanaokula keki ya taifa .ni uzalendo tu unatusukuma kuwasemea wengine, hakika watajinyonga
 
Chadema inasambaratika.
Wengi wameota hiyo ndoto. Kinyume chake wao ndio wamefutika. Mmojawapo namkumbuka ni Steven Wassira. Ndio kwanza akaishia kugaragazwa na kimdada fulani cha CHADEMA kwenye ubunge. Sembuse wewe KORONA Mtambuka?
 
Wengi wameota hiyo ndoto. Kinyume chake wao ndio wamefutika. Mmojawapo namkumbuka ni Steven Wassira. Ndio kwanza akaishia kugaragazwa na kimdada fulani cha CHADEMA kwenye ubunge. Sembuse wewe KORONA Mtambuka?
Kalagabaho.
 

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mh James Mbatia amefika Mkoani Mbeya kwa ziara ya kichama na Kupokelewa na RC wa Mkoa huo huku akiahidiwa ulinzi.

Katika ziara yake hiyo ya kichama atafika Busokelo ambako atapokea wanachama wapya wa chama hicho kutoka Chadema.

Ziara hii imekuja baada ya jana kufika ikulu kuteta na Mh. Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.
Harufuuu kwa mbaaaaaliiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mh James Mbatia amefika Mkoani Mbeya kwa ziara ya kichama na Kupokelewa na RC wa Mkoa huo huku akiahidiwa ulinzi.

Katika ziara yake hiyo ya kichama atafika Busokelo ambako atapokea wanachama wapya wa chama hicho kutoka Chadema.

Ziara hii imekuja baada ya jana kufika ikulu kuteta na Mh. Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.
Hii ndoa ilivunjikia wapi?
 

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mh James Mbatia amefika Mkoani Mbeya kwa ziara ya kichama na Kupokelewa na RC wa Mkoa huo huku akiahidiwa ulinzi.

Katika ziara yake hiyo ya kichama atafika Busokelo ambako atapokea wanachama wapya wa chama hicho kutoka Chadema.

Ziara hii imekuja baada ya jana kufika ikulu kuteta na Mh. Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.
Baada ya kutumikishwa sasa ni Mabomu tu
 

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Mh James Mbatia amefika Mkoani Mbeya kwa ziara ya kichama na Kupokelewa na RC wa Mkoa huo huku akiahidiwa ulinzi.

Katika ziara yake hiyo ya kichama atafika Busokelo ambako atapokea wanachama wapya wa chama hicho kutoka Chadema.

Ziara hii imekuja baada ya jana kufika ikulu kuteta na Mh. Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.
Mungu ibariki JF
 
Back
Top Bottom