Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mwambie huyo interahamwewale ni wanywa viroba wa yule dc muhuni. Mbowe anatisha
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyo interahamwewale ni wanywa viroba wa yule dc muhuni. Mbowe anatisha
Saccos ya lumumbaSema
Anajitambua, siyo kama yule mzee was sacoss
Na bado mkamshauri MWENYEKITI wenu muungane nae kuliondoa dubwana CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya oktoba hii ID ya Mmawia itapotea, yaani utakuja kivingine baada ya kupata kipigo kitakatifu.
Kumbe James mbatia Ni mpumbavu anayejificha kwenye kichaka Cha mama TanzaniaKatika waandishi wa habari walioongozana naye yumo mtoa habari wetu, hivyo tegemeeni kupata taarifa za uhakika
Ndoto za mchana wa jua kali
Alienda ikulu kuwezeshwa nyenzo na pesa .
wale ni wanywa viroba wa yule dc muhuni. Mbowe anatisha
Cdm haihitaji nafasi za kupewa na Magufuli, hao ambao hawana support ya watu ndio wanapaswa kwenda kujinyenyekeza. Tume huru ya uchaguzi ndio habari ya mjini. Cdm watapata kura za wananchi sio viongozi walevi wa madaraka.
tumemuwekea king'amuzi kichwani , kila atakapogusa tutammulika
Afu we jamaa utakuwa una tumbo kama pipa [emoji1787] subiri mziki wa wahamiaji ccm mpya...tutakufurahisha..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana jamaa wenu aliteremshwa toka jukwaan na wapiga kura wake waliomchoka. Mmekaa kishari shari tu.
Chadema inasambaratika.
Na Mungu ambavyo hafhihakiwi anawachomoa mmojammoja ili wananchi watambue rangi zao za asili. Watu ni wanafiki sana, Mungu awalinde wenye kupebda haki daima.
Wamenipanga kwenye ziara yake kimakosaKama uko hapo mbeya tafadhali hakikisha humpotezi
In God we Trust
Wamenipanga kwenye ziara yake kimakosa
Hii inaitwa viburi watakula jeuri yao. Ni wakati sasa Mbowe aende ikulu kupiga magoti ili walau aachiwe majimbo hata matano uchaguzi huu. Lakini hii inakera sana why double standards?
Namaanisha mbowe aende kulamba miguu ikulu ili abakiziwe walau majibo matano. Wale wote walioenda kulamba wamejihakikishie walau majimbo kadhaa. So kakaako mbowe akiwa jeuri atakula kiburi