James Mbatia afanya ziara mkoani Mbeya, apokelewa na Mkuu wa Mkoa na kuhakikishiwa ulinzi

James Mbatia afanya ziara mkoani Mbeya, apokelewa na Mkuu wa Mkoa na kuhakikishiwa ulinzi

Pumbafu sana wewe, unadhani mimi nafuata upepo kama wewe?

Ingia kwenye bio yangu utazame nimejiunga lini jf na michango yangu kwa upinzani.

Mimi siyo mfia tumbo kama nyinyi mashetani wa kijani
Baada ya oktoba hii ID ya Mmawia itapotea, yaani utakuja kivingine baada ya kupata kipigo kitakatifu.

In God we Trust
 
Katika waandishi wa habari walioongozana naye yumo mtoa habari wetu, hivyo tegemeeni kupata taarifa za uhakika
Kumbe James mbatia Ni mpumbavu anayejificha kwenye kichaka Cha mama Tanzania
 
wale ni wanywa viroba wa yule dc muhuni. Mbowe anatisha
FB_IMG_1570488518462.jpg
 
Amina Amina na mungu atatusimamia tutashinda haya majaribu
Cdm haihitaji nafasi za kupewa na Magufuli, hao ambao hawana support ya watu ndio wanapaswa kwenda kujinyenyekeza. Tume huru ya uchaguzi ndio habari ya mjini. Cdm watapata kura za wananchi sio viongozi walevi wa madaraka.

In God we Trust
 
Mungu ni mkubwa sana
Na Mungu ambavyo hafhihakiwi anawachomoa mmojammoja ili wananchi watambue rangi zao za asili. Watu ni wanafiki sana, Mungu awalinde wenye kupebda haki daima.

In God we Trust
 
Mbatia ni mzalendo amekataa kuwa kibaraka wa Mabeberu. Kiongozi mwenye mtazamo chanya
 
Tatizo la opposition ni kubwa kuliko tunavyodhani.Mbowe na Chadema ni wa kupigiwa mfano..
 
Mbowe atakuwa ametusaliti watanzania.asithubutu na ninajua hawezi kuthubutu
Hii inaitwa viburi watakula jeuri yao. Ni wakati sasa Mbowe aende ikulu kupiga magoti ili walau aachiwe majimbo hata matano uchaguzi huu. Lakini hii inakera sana why double standards?
 
Kwani mbowe anajichagua mwenyewe au anapigiwa kura na wananchi?
Namaanisha mbowe aende kulamba miguu ikulu ili abakiziwe walau majibo matano. Wale wote walioenda kulamba wamejihakikishie walau majimbo kadhaa. So kakaako mbowe akiwa jeuri atakula kiburi
 
Back
Top Bottom