Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Usilolijua ni usiku wa kiza mzee mrema ni ndugu yetu wa damu huwa familia hatumuelewi wewe chasaka unawezaje kumkubali?Wachaga siyo wa kuwaamini labda yule Augustino Lyatonga Mrema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usilolijua ni usiku wa kiza mzee mrema ni ndugu yetu wa damu huwa familia hatumuelewi wewe chasaka unawezaje kumkubali?Wachaga siyo wa kuwaamini labda yule Augustino Lyatonga Mrema!
Hizo taratibu zishishwe Hadi chini hyo kwenda tu mkoani ni upotevu wa mda, inatakiwa kuwe na communication sio kusumbuana umbali mrefu hyo ni kero tupuKuna shida lazima uende hospital ya mkoa au ukachukue kibali kwa mkuu wa mkoa
Tanzania Haina visima vya mafuta,Biden kaamuru pipa 50m za mafuta ziingizwe sokoni kupunguza upandaji wa Bei za mafuta na bidhaa zingine,muwe mnafikiriNaungana na Mbatia nchi inaendeshwa kama haina kiongozi, leo mafuta yanauzwa bei ambayo hatujawahi kuona lakini Rais amekaa kimya tu.
Makamba alitumia kodi zetu kwenda Saudi Arabia na akatuahidi mwezi disemba mafuta yatashuka beiTanzania Haina visima vya mafuta,Biden kaamuru pipa 50m za mafuta ziingizwe sokoni kupunguza upandaji wa Bei za mafuta na bidhaa zingine,muwe mnafikiri
Wewe Ni msukule wa lissu au?Misukule ya dikteta magufuli mna chuki na Samia!! Kenge nyinyi
Akisema yatashukaje(yaani kwa nini yashuke)Makamba alitumia kodi zetu kwenda Saudi Arabia na akatuahidi mwezi disemba mafuta yatashuka bei
Kama bei zinapanda holela ulitaka asiseme, au wewe kwako hazijapanda?Kawaida ya wapinzani..........kuponda kila zama.........hata magu walimponda sana
Kwani ana shida gani!? Anawaza 2025 huyo bibi.Naungana na Mbatia nchi inaendeshwa kama haina kiongozi, leo mafuta yanauzwa bei ambayo hatujawahi kuona lakini Rais amekaa kimya tu.
Lissu na Saanane ukiacha kuwa wanasiasa wenzao pia ni binadamu. Hakuna ambaye angetaka yaliyowapa ta yawapate na wao au wengine.Hakuna tatizo hapo.Mazuri ni mengi acha waendelee kubanwa mbavu vizuri akili zitawajia maana agenda ilikuwa lissu na ben sanane lakini maisha yalikuwa yanakwenda vizuri sana kwa wananchi wa kawaida
Sawa mkuu ila kuondoa hii tax kutoka kwenye mafuta na kuweka kwenye road toll itapunguza makali kwenye mafuta maana unaweza kujipimTujenge road tolls ili gharama za hizi tozo la road toll liko kwenye mafuta
Always jitahidi kujadili mada sio mchangiaji au mtoa mada!ngoja nikupe mfano mdogo tu,bei ya mafuta inapangwa kutokana na soko la dunia na uimara wa fedha wa nchi husika,kuondoa hizo zero na kuipandikiza sarafu yetu kwenye sarafu imara kutaleta unafuu,hakuna nchi ndani ya SADC yenye bei ya mafuta nafuu kama Botswana,tujifunze wamefanikiwa vipi na hii ni land locked country na haina crude oil,na pia tuambiane ukweli nchi yetu tunazaana mno!its crazy tunaongezeka zaidi ya 3%to 4% hii ni hatari mno na thanks God ametuondolea yule .....aliyesema tuzaaane tu yeye atatunza!UONGO mkubwa.Mchumi uchwara wa jf. Ukiondoa noti ya 10,000 , 5000 na 2000 uchumi utakua?
Wewe unakumbuka enzi za Mkapa bei ya sukari ndio tulinunua hivyo, Magufuri anaingia madarakani sukari ilikuwa 1800-2000/ .2015 inaonekana ulikuwa bado unalelewa na shemeji yako.JPM aliikuta sukari 1,200 akaicha 2,800 sielewi mnaongelea sukari gani
Wewe humwamini Lyatonga?!
Mwenyekiti wa chama cha Nccr Mageuzi James Mbatia leo ameitisha waandishi wa habari na kumuwakia vikali rais Samia kutokana na upandaji holela wa bei huku rais akiwa amekaa kimya bila kuingilia kati.
Mbatia amehoji huu upandaji wa bei unalenga kumunufaisha nani ikiwa wanyonge wa nchi hii wanateseka bila kutetewa na viongozi.
Pia amesema haiwezekani serikali ya awamu ya kwanza isumbuliwe na upungufu wa sukari na serikali ya awamu ya 6 ambayo imepatikana baada ya miaka 60 nayo isumbuliwe na tatizo la sukari lazima kutakuwa na tatizo la kiuongozi.
My take.
Ni Mbatia huyuhuyu alisema mama anatuponya majeraha ,anaupiga mwingi.
Leo hata mwaka haujaisha anamuwakia tena kwamba Tanzania haina kiongozi?
Hivi tutaacha lini unafiki?
Labda anasikilizia uteuzi.Kwani ZZK naye anasema je?
Ni kweli kabisa hiyo.Wewe unakumbuka enzi za Mkapa bei ya sukari ndio tulinunua hivyo, Magufuri anaingia madarakani sukari ilikuwa 1800-2000/ .2015 inaonekana ulikuwa bado unalelewa na shemeji yako.