johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ngoja tuone.Ni taarifa zisizo rasmi lakini zinasambaa kwa kasi kwamba aliyekuwa mwenyekiti wa Nccr Mageuzi Eng. James Mbatia yuko mbioni kuhamia Chadema
Zaidi yatakujia hapa hapa....
Sasa mbona wanavunjo walimchagua kuwa Mbunge waoHuyu mtu hanaga mvuto wa kisiasa sijui kwanini
Ni taarifa zisizo rasmi lakini zinasambaa kwa kasi kwamba aliyekuwa mwenyekiti wa Nccr Mageuzi Eng. James Mbatia yuko mbioni kuhamia Chadema
Zaidi yatakujia hapa hapa....
Sijui waliona nini kwake, labda anawasaidia. Huwa naona kama hana ushawishi...hata kumsikiliza inaboaSasa mbona wanavunjo walimchagua kuwa Mbunge wao
Kama mbowe tuHuyu mtu hanaga mvuto wa kisiasa sijui kwanini
Hapana. Mbowe yupo vizuri na anaushawishi mkubwa anajua kuongea.Kama mbowe tu
Pandikizi la ccm (kama Mbatia) huwa linang'olewa na ccm wenyewe."Rais kikwete kwanini umemteua Mbatia kuwa mbunge viti maalum wakati sio mwanamke?" By lyatonga mrema
NCCR washalamba asali hawezi kumbakiza mbatia ambae ni chaguo la mwendazake.Ni taarifa zisizo rasmi lakini zinasambaa kwa kasi kwamba aliyekuwa mwenyekiti wa Nccr Mageuzi Eng. James Mbatia yuko mbioni kuhamia Chadema
Zaidi yatakujia hapa hapa....
Mpiga ramli chonganishi,.Ni taarifa zisizo rasmi lakini zinasambaa kwa kasi, kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Eng. James Mbatia yuko mbioni kuhamia Chadema.
Zaidi yatakujia hapa hapa.
SanaHuyu mtu hanaga mvuto wa kisiasa sijui kwanini
AENDE UMOJA PARTY aungane na Humphrey Polepole na Bashiru arudi CufNi taarifa zisizo rasmi lakini zinasambaa kwa kasi, kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Eng. James Mbatia yuko mbioni kuhamia Chadema.
Zaidi yatakujia hapa hapa.
Chadema wamukatae huyo ni afisa wa ngazi ya juu wa usalama wa taifaNi taarifa zisizo rasmi lakini zinasambaa kwa kasi, kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Eng. James Mbatia yuko mbioni kuhamia Chadema.
Zaidi yatakujia hapa hapa.
Kwani naniliu wa ufipa st ni nani?Chadema wamukatae huyo ni afisa wa ngazi ya juu wa usalama wa taifa