Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
Urafiki wako na Mbatia umerejea kumbe? Kila la kheri katika majukumu yako hayo mapya.Uko kwenye damu mziki for life Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urafiki wako na Mbatia umerejea kumbe? Kila la kheri katika majukumu yako hayo mapya.Uko kwenye damu mziki for life Mkuu.
Hakika wala hujakosea.We mwenyewe laghai.
Huu urafiki wao ni shida:Mmoja hapo inasemekana sio rizki mwingine hapo ametoka milembe juzi.Urafiki wako na Mbatia umerejea kumbe? Kila la kheri katika majukumu yako hayo mapya.
Ndio , kwa sababu hajashika Dola.james mbatia ni mpinzani ??
Mbatia toka lini ni mpinzani juzi kati alienda ikuluHapo tutaangalia kama Kweli mbowe ni mpinzani au pandikizi la CCM maslahi kama ninavyomjua!!
Mpinzani mwenye nguvu kama Mbatia hakuna haja kwa upinzani kumpiga vita ili hali mateso yao yote yanesababishwa na CCM ya Bashiru na watu wengine wawili!!
Itakua ni aibu kubwa kwa mkoa wa Kilimanjaro kupoteza majimbo ya upinzania baada ya Ndesamburo kuondoka.
Kazi yabkujenga Upinzani iliyofanywa na Watu kwa muda mrefu itakua imepotea
Huu ni mkutano wa ufunguzi wa kampeni wa Joseph Selasini. Kajaza watu hadi raha.NCCR Mageuzi Jimbo la Hai hawajasimamisha mgombea ili kumpisha Mwenyekiti wa CHADEMA na hivyo hivyo tunategemea CHADEMA wote wataelekeza nguvu zao zote kumpigia kura Mbunge James MBATIA kupitia NCCR MAGEUZI. Uongozi nikuachiana madaraka na kulindiana heshima
#DON NALIMISON
Simu Na. 0682 94 29 01.
Au kukiwa na ugali unitumie.Namba yangu ya simu ili Kama hujarizika unipigie.
Muulize leo Kama ni yeye aliye andika hivyo uone atakavyo kanusha, tumbo ni kubwa kuliko Kichwa.
Hahah ukimuuliza na kesi juu utapewa.Muulize leo Kama ni yeye aliye andika hivyo uone atakavyo kanusha, tumbo ni kubwa kuliko Kichwa.
Mbatia toka lini ni mpinzani juzi kati alienda ikulu
Huyo alishafika bei. Sawa na lipumbaNCCR Mageuzi Jimbo la Hai hawajasimamisha mgombea ili kumpisha Mwenyekiti wa CHADEMA na hivyo hivyo tunategemea CHADEMA wote wataelekeza nguvu zao zote kumpigia kura Mbunge James MBATIA kupitia NCCR MAGEUZI. Uongozi nikuachiana madaraka na kulindiana heshima
#DON NALIMISON
Simu Na. 0682 94 29 01.
Mbatia haeleweki na amelisahau jimbo.NCCR Mageuzi Jimbo la Hai hawajasimamisha mgombea ili kumpisha Mwenyekiti wa CHADEMA na hivyo hivyo tunategemea CHADEMA wote wataelekeza nguvu zao zote kumpigia kura Mbunge James MBATIA kupitia NCCR MAGEUZI. Uongozi nikuachiana madaraka na kulindiana heshima
#DON NALIMISON
Simu Na. 0682 94 29 01.