Uchaguzi 2020 James Mbatia (NCCR-Mageuzi) v Charles Kimei (CCM) - Jimbo la Vunjo

Uchaguzi 2020 James Mbatia (NCCR-Mageuzi) v Charles Kimei (CCM) - Jimbo la Vunjo

Mbatia CCM B na kuna majimbo ya kupewa walishaandaliwa na ccm
Kwenda na kutokwenda ni mbinu za kisiasa.
Hata Mbowe walikwenda wakati wa JK ili hali Slaa alipigwa akavunjwa mkono!!
Na mke wake kutiwa mangeu usoni lakini walienda kunywa chai ikulu.

Siasa ni mchezo usio na adui wala rafiki wa Kudumu.
Hata Kinana ataipigia kampeni CCM lakini ni majeruhi wa kisiasa wa utawala wa awamu inayodhaniwa kuwa ni ya Tano nyuma ya zamani.
 
Katika watu wanaojuta kwa sasa Mbatia mmoja wapo maana ametumika kuuharibu upinzani halafu Jiwe kamtelekeza alidhani atapata kitonga.
 
Back
Top Bottom